Pole kwa msiba , lakini kuna jambo jina nitatiza
Moja alikuwa mpole hivyo uwezekano wa kufarakana na jirani au majirani ni mdogo
Pili alikuwa mtu mwenye uweledi hivyo alikuwa si mbadhirifu wa Mali ya umma
Sasa unajiuliza nani alikuwa na uhasama naye ?? Jamiii iliyo mzunguka??
Au yeye mwenyewe kwa kutoeleza vizuri alivyo potea Mara ya kwanza nine hasa has a kilitokea na je issue ya kuitwa polisi lipoje ikiwa alikuwa mweledi au kama ni kutokana na kutekwa Kwake hapo awali
Itajulikana familia INA majonzi Kwa sasa labda aliprint aliwaachia familia maagizo au yatakayomkuta.