Leo una hamu ya nini?

Leo una hamu ya nini?

Nina hamu ya kula mansansa yale mamboga meusi kama nywele ,halafu yana mamichanga balaa ni mwendo wa kumeza tu bila kutafuna kama mamba au nikipata kihembe au dengu zilizopikwa kama uparato wa mtoto ntafurahi sana.
 
Mimi sijali wala nini watajiju maana hakuna anayenifahamu nipo kurefresh tu huku
Mimi na wewe wala hatujali, mambo yetu tunayajua wenyewe, tuko hapa kurefresh minds na kuwatamanisha Wana JF kiasi cha kujichua vikali.

Na itawauma sana.
 
Hivi Mshangazi dot com hajarudi kazi kwake tu.
Au bado anafanya kumbukizi ya kifo cha yule lecture mtu mzima alikuwa na miguvu ya kiume isiyo mfano.

Enzi za uhai wake alimfanya kitu mbaya!!
Bado naomboleza na naendelea kummiss Dr. Luis wangu, ule moto niliopelekewa haukuwa wa kitoto!

Kazini kesho 😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom