Leo TANESCO mmetuweza

Leo TANESCO mmetuweza

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,143
Muda huu,maeneo ya Ubungo,Survey na Sinza Dar es Salaam hayana umeme. Kuanzia saa kumi jioni,umeme umekatika mara tano. Leo mmetuweza.

Huko mlipo vp?
 
Huku chang'ombe tmk hadi tandika ni mwendo wa majenereta tu kaka tangu asbh
 
Yaani wewe kuanzia saa kumi jioni.ndio wamewaweza?
Wenzio huku siku ya 3 sasa


Muda huu,maeneo ya Ubungo,Survey na Sinza Dar es Salaam hayana umeme. Kuanzia saa kumi jioni,umeme umekatika mara tano. Leo mmetuweza.

Huko mlipo vp?
 
Muda huu,maeneo ya Ubungo,Survey na Sinza Dar es Salaam hayana umeme. Kuanzia saa kumi jioni,umeme umekatika mara tano. Leo mmetuweza.

Huko mlipo vp?

Huku Mbezi Beach hakuna na umekatika mida ya saa moja kasoro hivi.....

MIddle finger kwa Tanesco.....
 
Hawa TANESCO kwa neno moja ni......! Mi staki kutoa hasira zangu mbichi wakereketwa nisaidieni kumalizia!
Since 0630 to 2048 and still in blackout!
 
Muda huu,maeneo ya Ubungo,Survey na Sinza Dar es Salaam hayana umeme. Kuanzia saa kumi jioni,umeme umekatika mara tano. Leo mmetuweza.

Huko mlipo vp?

Huku dom toka saa 12 bt walisema Tatizo linaish leo kulikon
 
Back
Top Bottom