Leo TANESCO mmetuweza

Leo TANESCO mmetuweza

Yaani hawa Tanesco ni ndoroobo sana.Huku Mkuranga wamekata toka jana asubuhi,wamerudisha leo asubuhi saa mbili halafu saa hizi saa tano wamekata tena. Hivi kweli tupo kwenye nchi yetu au ni wakimbizi?
 
Alafu wanasema watajenga viwanda vya kusindika samaki kwenye ufukwe wote wa bahari.
Hivyo viwanda vitaendeshwa na nishati ya mkaa au ndio tunafanywa wapumbafu?
 
Hapa Unguja leo ni washa zima washa zima toka asubuhi, ila nausubiri kwa hamu sana huo umeme wa gesi.
 
Hapa Unguja leo ni washa zima washa zima toka asubuhi, ila nausubiri kwa hamu sana huo umeme wa gesi.

LAbda usubiri ule wa ngazi lakini wa gesi utasubiri sana!! Je, bei yake itakuwa palepale???? TZ tu vilaza!!
 
Yaan Leo nimezunguka Kariakoo, mwenge, Tabata, magomeni, maeneo ya chuo natafuta umeme nikamilishe ishu flani hivi lakini kooote huko holaa.., Tanesco wamenitesa na kunitia hasara kubwa Sana Leo.., nafanya mawasiliano na mwanasheria kwa ushauri zaidi

Kaka unalalamika umeme jana tu? Uliza mkoa huku mgao una miezi mitatu, ukiondoka saa 12 asbh unarud saa 6 usiku.

Watu tunakula hasara kila siku.
Then yupo mpumbavu mmoja ananiambia chagua ccm.

Ccm my ass!
 
Back
Top Bottom