Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Hata mimi aisee. Yaani stori za TANU na wazee wa mtaa wa Kichwele zinaniburudishaga sana.Ila kwa kiasi fulani ananishangaza pale anapoanza kuegemea sana upande fulani.Mzee huyu kwa hadithi za Wazee wake wa Dsm ananiachaga hoi sana.