mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,845
Happy birthday to you Mohammad said
Amin ndugu yangu Karimt.Heri ya kuzaliwa mzee wangu Mohamed Said. Allah s.w akupe umri zaidi inshallah wenye heri
Mgodi,Happy birthday to you Mohammad said
Mashallah misspelling niko fluent in arabic mkuuImekuja na jahazi
Kaabah,Allah akupe kila jema inshaallah...!
Masahallaha
Tatizo lake anaamini Tanzania ni Kariakoo na Msimbazi.Kwa hiyo anakupigia hadithi ndeefu za mitaa ya Msimbazi mpaka unachoka mwishowe anamlaumu mwalimu kwa kutowapendelea wazee wake.
Namshauri wakati akisherehekea siku yake ya kuzaliwa ajitahidi kuandika historia ya Dar es salaam.Afike na maeneo ya Kinondoni na Buguruni.
Capt...Heri ya kuzaliwa mzee Mohammad said napenda simulizi zako! kuanzia za uhuru wa tanganyika hadi maisha yako na rafiki zako enzi hizo!! Hakika uliishi! Uliutumia vyema muda wako!!for each stage of your life there is a tale to tell!! Mungu akupe maisha! Amen
Hivi kumtakia mtu heri ya kuzaliwa sio dhambi?, au mfumo Kristo ndio umetuharibu?Heri ya kuzaliwa mzee wangu Mohamed Said. Allah s.w akupe umri zaidi inshallah wenye heri