Pohamba,
Begiu
Akimaliza ya Kinondoni na Buguruni utahoji kwanini Historia ya Majohe na Malamba mawili haijaandikwa?
Kinondoni na Buguruni Enzi hizo ilikuwa Pori tu
Mauza...Heri ya kuzaliwa mzee wetu Allah akuzidishie kila lenye kheri na jema, endelea kutuletea historia muhimu ya nchi yetu. Happy Birthday mzee Mohamed Said.
Mahoza,HBD mzee Mohamed Said.
BBC,Kila lenye kheri Mzee Said. Hii birthday ya ngapi!
Onyx,HBD Mzee wangu wa nguvu
Alhamdulillah, Allah akuongeze umri ili uweze kumuabudu zaidi.BBC,
Ahsante sana kwa kheri zako.
Leo nimetimiza miaka 65.
Alhamdulilah.
BBC,Alhamdulillah, Allah akuongeze umri ili uweze kumuabudu zaidi.
mzee wa porojo
Darcity ahsante kakaHeri ya kuzaliwa Mzee wetu Mohamed Said
Mungu akujaalie maisha yenye kumkumbuka.
K..Happy Birthday mzee
Sky ahsante sana...Mungu akupe maisha ya raha na afya njema mzee.
Kumbe bado kijana hivyo. 65. Alhamdulillah. Mie nimetumia "mzee" heshima na sio umri. Hahaha. Mola akupe maisha marefu.Onyx,
Ahsante sana.
Kumbe HBD ni kifupi cha Happy Birth Day!
Punde tu nimeuliza ati HBD ni nini?
Kweli mimi mzee sasa.
Mahoza AminKumbe bado kijana hivyo. 65. Alhamdulillah. Mie nimetumia "mzee" heshima na sio umri. Hahaha. Mola akupe maisha marefu.