Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Mtambuzi,
Yaani mwanamke akiwa na style hii ya nywele au dread locks[halisi] mimi huwa hoooooi!!!!!.........lol!!!!!!
Karibu sana bibiye, Nitaku PM kukupa muongozo...........
Kuna timu ya watu 11, wadada 6 na wanaume tuko 5
Hongera sana kaka mkubwa...kuna wakati huwa nawaona mkiwa kwenye matembezi ya hisani.
Ila waambie wadada basi wawe wanatupiamo vinguo vyenye staha, wanatuumiza sisi wengine wenye mfadhaiko.
Maana ule mwendo wa kuwahi kigiza kisiwakute, basi huachia mirindimo ya hatari hatari...
Hongera sana kaka mkubwa...kuna wakati huwa nawaona mkiwa kwenye matembezi ya hisani.
Ila waambie wadada basi wawe wanatupiamo vinguo vyenye staha, wanatuumiza sisi wengine wenye mfadhaiko.
Maana ule mwendo wa kuwahi kigiza kisiwakute, basi huachia mirindimo ya hatari hatari...
Huyu binti huwa ananikosha sana...ningekuwa na uwezo ningeuza shamba langu la magimbi nimfuate huko kwa Obama...
hahahahaha nguo dha madhoedhi hadhina staha itabidi ufumbe macho tukipita teh teh teh au ujiunge chamani uzoee kama alivyojizoelea Mtambuzi
duh hongera sana,kweli sio dhambi nzi kufia kwenye kidonda.
Mmmh sikutanii...huwa nawaona wakipita hapa Agha Khan Hospital...hatari tupu
Sasa usiombe mdada mmojawapo awe anainama kuokota kichupa cha maji kilichoanguka...luuuh!!!
Kumbuka vile vitaiti vinakuwa vimeshalowa jasho hapo...hatari sana mtu wangu
Ha ha ha....ushawahi kumuona huyo mlimbwende besti?
who cares or it is an invitation to treaty?
itanibidi na mie nianze kuvaa kisketi kama cha Selena Williams nije nikutege teh teh teh pole sana
namuona kwenye movie best ila mashavu yake huwa yananikata steam kabisa ndo maana nikakwambia nzi kafia kwenye kidonda tehteh am sorry
U definitely do care hun...!!!
Hahah no need to be sorry besti, si unajua sisi tupo Umatumbini huku tunakula kwa macho tu...
Tukiwakosa hao basi tunawatafuta wafananao na viwango hivyo huku huku kwetu kina Fatuma Ndalandefu...
Ukimpiga sopusopu kama hii ya Mtambuzi hapa, ukamuanika juani kidogo...aaah Mungu si mzee Mkumba mtoto anakwiva viwango kama hivyo...
kwani nyusi ni lazima zitindwe ndo zimpendezeshe mtu?babu weeeee vitana vipo kwa ajili ya kuzichana zilete mvuto kwa akina sie tusiohitaji gharama,,,,,,,,,sikusapoti kwenye nyusi na kope,hayo mengine big like
best kuna watu wana mahangaiko ya dunia mmmh acha tuwapishekumbe tupo wengi, nilifikiri niko peke yangu nisie penda kutinda nyusi na kuweka kope bandia, nimwendo wa ki gel kwa mbaali then unachana na kitana halafu unazi shape.... Mbona zinapendeza tu!