Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,514
Habari wakuu,
Kuna wanawake baadhi wanatabia ya kuburuza viatu.
Utakuta anatembea anaburuza viatu yaani watu wanamshangaa..
Yeye anaona ni kawaida tu anaburuza mayebo yake...
Mdada mzuri unaburuzaje viatu vyako, mavumbi yamekujaa uchafu tu...
Hii tabia imekuwa ni kero na imekomaa na Wanawake wao wanaona kawaida..
Hapa nipo hospital amepita mwanamke anaburuza maviatu yake...
Watu wote wanaamshangaa sana, yeye Wala anaburuza kwarakwaaraaa...
Ni uchafu pia maana miguu haiwezi kuwa misafi unachafuka...
Juu unakuta mwanamke kapendeza lakinia anaburuza sandals...
Miguu imejaa mavumbi yote alafu anajiona kapendeza jamani urembo sio mrahisi...
Ninavyoandika hapa anapita Tena
Kuna wanawake baadhi wanatabia ya kuburuza viatu.
Utakuta anatembea anaburuza viatu yaani watu wanamshangaa..
Yeye anaona ni kawaida tu anaburuza mayebo yake...
Mdada mzuri unaburuzaje viatu vyako, mavumbi yamekujaa uchafu tu...
Hii tabia imekuwa ni kero na imekomaa na Wanawake wao wanaona kawaida..
Hapa nipo hospital amepita mwanamke anaburuza maviatu yake...
Watu wote wanaamshangaa sana, yeye Wala anaburuza kwarakwaaraaa...
Ni uchafu pia maana miguu haiwezi kuwa misafi unachafuka...
Juu unakuta mwanamke kapendeza lakinia anaburuza sandals...
Miguu imejaa mavumbi yote alafu anajiona kapendeza jamani urembo sio mrahisi...
Ninavyoandika hapa anapita Tena