umeonaeehhh Yummy?? mmhh itabidi niokoke very soon!
Njoo tulonge kipenzi,mi na weyee....yako pia tamu kwelkwel
anders batta mdogo wangu upo?? mom hajambo?? mi kila nikigongana na wewe lazma nimjulie mom wako hali, unanifurahisha kuona unampenda mom wako, natamani wale wangu wakikua na wao waseme AM THE BEST!Hadi huku unafikaga?? kuna akina Eric52 huku..watakufededa na mishakibobo yao pamoja na Young Master..si watu wazuri kabisa! avoid them immediately! Lol..
umechanganya albam kaka,hii ni picha ya harusi ya Baba Ashrat na Mama Ashrat circa 1947.
Heheheee kijana upo?Hadi huku unafikaga?? kuna akina Eric52 huku..watakufededa na mishakibobo yao pamoja na Young Master..si watu wazuri kabisa! avoid them immediately! Lol..