chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Leo nimewaza ujinga wa kujiuliza kama Tanzania ikatokea haya.!
Mambo ye nyewe:-
* TBL (kampuni ya bia) imeokoka na kuanza kuuza soda kwenye chupa zake walizokuwa wana weka bia.
* Kampuni ya Azam imeacha kutengeneza bizaa za vyakula na kuanza kutengeneza magari.
* Simba na Yanga zimeshuka daraja na kuingia ndondo kapu.
* Ugonjwa wa kisukari unaosumbua watu kumbe dawa yake ni chunvi.
* Tanzania kuogopwa na mataifa makubwa kwa sababu ya chama kisicho toka madarakani kwa demokrasia.
ni hayo tu
Mambo ye nyewe:-
* TBL (kampuni ya bia) imeokoka na kuanza kuuza soda kwenye chupa zake walizokuwa wana weka bia.
* Kampuni ya Azam imeacha kutengeneza bizaa za vyakula na kuanza kutengeneza magari.
* Simba na Yanga zimeshuka daraja na kuingia ndondo kapu.
* Ugonjwa wa kisukari unaosumbua watu kumbe dawa yake ni chunvi.
* Tanzania kuogopwa na mataifa makubwa kwa sababu ya chama kisicho toka madarakani kwa demokrasia.
ni hayo tu