Leo nimetoka hospitali.

Leo nimetoka hospitali.

Mwita25

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
3,831
Reaction score
1,173
Nadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu nimeruhusiwa baada ya kupata nafuu.
 
karibu back ccm nila weww inapwaya sana
 
Hongera kwa kupona ,pole kwa maumivu uliyo yapata,karibu sana
 
Nadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu nimeruhusiwa baada ya kupata nafuu.

pole mkuu, karibu jamvini
 
Sasa chandarua ya mgao hukupata? Uwe unalala kwenye harrier yako nyeusi,ngurumisha usiku kucha kama ina kipupwe. Pole sana mkuu
 
au zilikua njama za kukwepa kesi ya arusha?(natania)pole sana mkuu.mia
 
Nadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu nimeruhusiwa baada ya kupata nafuu.

pole mkuu...ndo maana niliona post zako zimekaa kicelebrial malaria zaidi! kumbe!
 
Pole mpendwa,Mungu akupe uponyaji haraka,Taifa lakuhitaji
 
Back
Top Bottom