Lutala
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 848
- 103
Wapendwa wana wa JF, napenda kuungana nanyi katika kusherehekea miaka 3 ya ndoa na miaka 11 ya mahusiano na my wife wangu. Ni jambo dhahiri kuwa kufikia hapa tumevuka milima na mabonde mengi lakini kila wakati sala imekuwa ndo nguzo yetu. mungu ameijalia ndoa yetu watoto waiwili wa kiume na kike. nazidi kuwaombea wote waliopo kwenye ndoa na wale pia wanaotarajia kujiunga na chama hili kheri na baraka tele. Mungu awe kiongozi wenu daima.