lobustara
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 204
- 105
yaani ukiwa mgeni nchi flani raha sana,kila demu anakushobokea umuonje hata bure, karibu uje kushika hata chuchu za warembo
Hahahaha..angalia usijejikuta huna nauli ya kurudia
yaani ukiwa mgeni nchi flani raha sana,kila demu anakushobokea umuonje hata bure, karibu uje kushika hata chuchu za warembo
![]()
![]()
.....hii mambo noma sana !!!
ama kwa hakika wewe unaifahamu casablanca,sasa pale kuna mabinti wakicheza uchi wa mnyama tena wakinyonyana mate na kuchezeana matiti na sisi macustomer tukifurahi,pale bia ni 300ksh.hapa adis kuna huyu shemej yako ndo kanileta nijitambulishe kwa wakwe,ila wadogo zake pia ni homa ya jiji
Kaka mambo yako Florida, ukichezewaaaa ukipata mzuka unakwenda kwenye vile vibanda kule beach kupata massage. Ndio maana mtu mmoja alienda Mombasa aliporudi mabasi yake akayaita MOMBASA RAHA
![]()
![]()
.....hii mambo noma sana !!!
Nimefanya nao kazi Bahrain 2010 yaani wana urembo wa asili na hata ktk vitabu vitakatifu wamo,mfalme suleimani alishindwa kuvumilia alichanganyikiwa!akawaoa kwa fujo!
Vipi kuna biashara ya warembo kukodisha mwili?
salute kwako mkuu falcon mombasa ama hakika mwenzetu unafaudu mautamu ya neema za allah!!!
piga ua lazima one day nitimbe huko.
Sasa tushaona kuwa reception ni mia kwa mia bado wezere mkuu usisahau kutupiapo tupicha twa mibinuko si unajua tena yakheee mambo yetu yaleeee!!
Nimefanya nao kazi Bahrain 2010 yaani wana urembo wa asili na hata ktk vitabu vitakatifu wamo,mfalme suleimani alishindwa kuvumilia alichanganyikiwa!akawaoa kwa fujo!
shukrani mkuu hapa nikianza mambo ya picha shemeji yako ataona ,hapa naandika lakini haelewi vizur .anajua neno moja moja,mkuu hujanicheki fb halafu
Ebu fikiria chacha huyo mfalme sule pamoja na hekima zake zoote lakini alipagawa sembuse mm niliyezaliwa baada ya maelfu ya miongo kupita???!
Hapa Mungu alionesha upendeleo dhahiri shahiri iweje awaumbie wahabeshi tu then sisi wanaume wa bongo akaishia kutupa "manegative"?? hii haikubariki hata kidogo!!!!
mbna ngoz ya sura na miguu tofaut?
hata IFM na CBE si kuna mademu pale mkuu
wakumwaga