NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,739
- 2,339
mbona kwetu kanda ya ziwa ni ustaarabu uliozoeleka huo.
Mnachanga mia mbili alafu mnataka kula pilau.. Familia mnaziachia mzigo Mkubwa.
mbona kwetu kanda ya ziwa ni ustaarabu uliozoeleka huo.
Huwajui vizuri wewe..Watu wa mbeya wanaukabila balaa halafu washirikina.. nenda kafanye biashara mbeya ndio utawajua vizuri...Misiba ni sehemu zote wako hivyo hata Njombe nimeshachangia sana misiba ambayo siifahamu..!
.we muongo wewe.kama unatoka njombe basi wewe mkinga. hizo biashara za mbeya usiwe karibu na mkinga.teh tehHuwajui vizuri wewe..Watu wa mbeya wanaukabila balaa halafu washirikina.. nenda kafanye biashara mbeya ndio utawajua vizuri...Misiba ni sehemu zote wako hivyo hata Njombe nimeshachangia sana misiba ambayo siifahamu..!
Hahahhaah baiskeli ipo home, nimeendelea kidogo nina kibajaji siku hiziWe muache tu akatae kabila la rais mtalajiwa!
Miss sn wewe Dada yangu!
Iko wapi ile basikeli?, au umeuza chuma chakavu?