Leo nimeshuhudia ukarimu wa watu wa Mbeya

Viva89

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
1,261
525
hello wapendwa,

Nipo Mbeya kikazi for a while, kuna mdada nimesikia anafanya kazi redioni,hiyo Highlands fm kafiwa na mtoto wake, (nimejua sababu mimi mmoja wa niliotoa mchango) kwa nilivyosikia muajiri na wafanyakazi wenzake wamejitoa kweli.

Ila kilichonigusa wanyakyusa hawa, kila gari linalopita pale mtaani kwake linasimamishwa na kuombwa mchango wa msiba, ndugu wako pale wanaandika na jina na hela unayotoa na kweli watu wanatoa mchango 1000,500,2000,5000 etc. zinapokelewa na kupelekwa kwa ndugu pembeni,hadi pikipiki nimeshuhudia wanatoa.

Ni magari ya serikali tu ndio nimeona 3 yamepita tu, na fuso na basi moja, sijui mengine.

Baada ya kuona hivi nikasema, kama kusaidiana hawa wanasaidiana, maduka yote yamefungwa kasoro duka la wanalouza samaki.

Jamanii, i had never seen this so imenigusa sana

Pardon me kwa maneno mengi, ishi vizuri na majirani jamani na hautaumbulika, huyu dada na familia yake wanasema sio wa Mbeya, hana ndugu hapa ila majirani,marafiki na muajiri wamesaidia.
 
Hii ni tabia iliyokuwepo miaka ya Nyerere sehemu mbalimbali Tanzania ila kwa sasa ubepari umeingia kwa kasi sana ni maeneo machache sana yamebaki na utamaduni wa kusaidiana.

Ukirudi hapo wape hongera hao jamaa kwa umoja wao.
 
Hii ni tabia iliyokuwepo miaka ya Nyerere sehemu mbalimbali Tanzania ila kwa sasa ubepari umeingia kwa kasi sana ni maeneo machache sana yamebaki na utamaduni wa kusaidiana.

Ukirudi hapo wape hongera hao jamaa kwa umoja wao.

nitawapa aisee..yaani i was so touched...nimeuliza wanavyoshughulikia misiba wanasema huku Mbeya desturi yao ni kwamba kabla ya mazishi, almost kila kitu kinahudumiwa na mtaa wako, cjui kupika chakula, chakula chenyewe,chai na vitafunio, kuchangia sanduku, kuni etc ile cost huwa vinafanywa na watu wa mtaa wako, then baada ya mazishi ndio wengne kama ndugu marafiki ndio mchango wao unatumika kwa watu watakaokuwepo na wanaokuja baadae..dah!..huu umoja umenigusa sana
 
hello wapendwa,

Nipo Mbeya kikazi for a while, kuna mdada nimesikia anafanya kazi redioni,hiyo Highlands fm kafiwa na mtoto wake, (nimejua sababu mimi mmoja wa niliotoa mchango) kwa nilivyosikia muajiri na wafanyakazi wenzake wamejitoa kweli.

Ila kilichonigusa wanyakyusa hawa, kila gari linalopita pale mtaani kwake linasimamishwa na kuombwa mchango wa msiba, ndugu wako pale wanaandika na jina na hela unayotoa na kweli watu wanatoa mchango 1000,500,2000,5000 etc. zinapokelewa na kupelekwa kwa ndugu pembeni,hadi pikipiki nimeshuhudia wanatoa.

Ni magari ya serikali tu ndio nimeona 3 yamepita tu, na fuso na basi moja, sijui mengine.

Baada ya kuona hivi nikasema, kama kusaidiana hawa wanasaidiana, maduka yote yamefungwa kasoro duka la wanalouza samaki.

Jamanii, i had never seen this so imenigusa sana

Pardon me kwa maneno mengi, ishi vizuri na majirani jamani na hautaumbulika, huyu dada na familia yake wanasema sio wa Mbeya, hana ndugu hapa ila majirani,marafiki na muajiri wamesaidia.

Usiombe kuishi katikati ya Wazaramo ukiwa mgeni (wakuja). Hata kama ukiwa mwema kiasi gani kwao wataishia kukuwangia na kukuchukia!

Hongereni sana Wanyaki kwa ukarimu wenu!
 
Pamoja na yote uliyosema huku mbeya ukiwa hushuriki misiba ya wenzako wanakuhesabia tu, siku ufiwe wewe ndio utajuta maana watakusaidia kila kitu kama hata kuchangia vibaba vya unga maharage na kuni na kuchimba kaburi lkn kuzika sasa makaburini makoleo yatafichwa na wewe ambae huzikagi wenzako utaambiwa ufukie kaburi kwa mikono yako
 
Mkuu bado kuna mengi sana utazidi kuyashuhudia hapo Mbeya, wako humble sana watu wa Mbeya ila hawapendi dharau kutoka kwa wengine
 
Huwajui vizuri wewe..Watu wa mbeya wanaukabila balaa halafu washirikina.. nenda kafanye biashara mbeya ndio utawajua vizuri...Misiba ni sehemu zote wako hivyo hata Njombe nimeshachangia sana misiba ambayo siifahamu..!
 
Ukarimu Mby wanaujua vzr sana. Ukitongoza mwanamke wa Mby akakujibu njoo kesho, panda basi urudi kwenu.
 
Mkuu bado kuna mengi sana utazidi kuyashuhudia hapo Mbeya, wako humble sana watu wa Mbeya ila hawapendi dharau kutoka kwa wengine

Upo sahihi Mkuu hatupendi dharau, ukituonyesha dharau utajuta mana sisi tutakuonyesha Mara dufu.
 
Huwajui vizuri wewe..Watu wa mbeya wanaukabila balaa halafu washirikina.. nenda kafanye biashara mbeya ndio utawajua vizuri...Misiba ni sehemu zote wako hivyo hata Njombe nimeshachangia sana misiba ambayo siifahamu..!

Hakuna sehemu isiyo na ushirikina Duniani, na kuhusu ukabila ilo swala halipo mbeya kiukweli.
 
Huwajui vizuri wewe..Watu wa mbeya wanaukabila balaa halafu washirikina.. nenda kafanye biashara mbeya ndio utawajua vizuri...Misiba ni sehemu zote wako hivyo hata Njombe nimeshachangia sana misiba ambayo siifahamu..!

sina hakika kama una maanisha ulichoandika.
wafanyabiara wengi ni wakinga wa iringa na wachaga wa kilimanjaro una maana hao ndio wachawi walioshindikana ?
 
Huwajui vizuri wewe..Watu wa mbeya wanaukabila balaa halafu washirikina.. nenda kafanye biashara mbeya ndio utawajua vizuri...Misiba ni sehemu zote wako hivyo hata Njombe nimeshachangia sana misiba ambayo siifahamu..!

Siyo sahihi Mbeya wangekuwa wakabila Mbunge asingekuwa Sugu, biashara nyingi zisingemilikiwa na wakinga
 
Back
Top Bottom