Safari ya Mbeya ilivyokuwa

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Duniani kuna mambo mengi sana , ambayo mengine ni kama vibaya kuhadithia kwa wengine kama labda ni wenyeji wa huko au labda kama wana mahusiano na kitu hicho inakuwa mbaya haswa kwa wale wasiopenda kujua ukweli wa mambo , lakini wote tunakubaliana kitu kimoja bila kusemeana ukweli hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa na binadamu kwa njia yoyote ile hata kwa nini .

Ntakupa mifano michache mfano huku afrika na sehemu zingine za bara asia na amerika ya kusini , viongozi ni waongo , wamewajengea mpaka watoto wao na vizazi vingine uwongo kiasi kwamba mtu akisema ukweli anaonekana muasi mbaguzi au pengine mchonganishi wanabakia kulalia uongo siku zote hawaendelezi vizazi na watoto wao katika secta ya sayansi na elimu ambayo inahitahi ukweli na uwazi kila kitu uwongo na ulaghai

Hata katika mila na desturi , huku afrika mila na desturi za uongo ni fani , angalia hili suala la ushirikina ?? ushirikina ni mali ya mwafrika na huku imejaa sana lakini ushirikina ni uwongo mtupu ni ujanja ambao mwingine akifundishwa ana adapt na unaweza kutumika kwa faida nyingi tu katika maendeleo na makuzi ya watu wengine hii ni sayansi inayohitaji kuwekwa wazi ila ndio hivyo uwongo umetuzidi mpaka tunajichukia .

Mimi huwa napenda kusema kila ninachojisia kinanivutia na nimeshuhudia mwenyewe kwahiyo sio uwongo napenda kuandika kwa njia ya hadithi au makala kwa watu haswa mafariki zangu , juzi nilikuwa mkoani mbeya na hayo niliyoandika ndio hali halisi ya watu wa mkoa ule wanavyoishi wengi wao hata kama wakikataa na kubisha wanakataa lakini wajomba zao , mama zao , wadogo zao na majirani zao wanaangamia .

Haswa katika hili suala tata la ugonjwa wa ukimwi , huu tuuangalie kwa pande 3 kuu yaani mimi , wewe na yule ( wale ) tuna nafasi gani katika kuendeleza jamii zilizobora ambazo hazisumbuliwi na jinamizi la ugonjwa wa ukimwi wala matatizo yoyote wote wakue vizuri waje kuwa taifa bora watoe mchango kwa majirani zao na vizazi vijavyo ?

Usijali bwana ( KILA MTU NA MAISHA YAKE AU SIO )

Ehe vipi mambo hapo ulipo ??


Hapa ni salama sana , maisha ni bam bam naweza kusema , sasa hivi ni mchana wa saa 6 hivi inaelekea saa 7 kamili , ni lunch time kwa wengine ila mimi huwa nakula chakula cha mchana kuanzia saa 9 hivi au saa 10 jioni halafu usiku huwa sili chakula napenda kula samaki na karanga hiyo ndio furaha ya maisha yangu ya kila siku , kila mtu anaamua na kutenda anachoona kinafaa au sio ?

Basi kipindi hichi cha karibuni wiki hizi 2 nilienda mbeya kwa ajili ya kazi katika offisi moja hili ni shirika la uingereza kazi yake ni kusaidia watu wa manispaa na miji katika ukusanyaji wa kodi na mapato na katika kuwafundisha zaidi kuendana na uchumi wa dunia jinsi unavyokuwa kila siku .

Shiriki hili tuna mkataba nalo wa mambo ya ufundi na shuguli zingine zinazohusu data na ukaguzi wa vifaa vyao vya mawasiliano , kutokana na mkataba huu kila baada ya miezi 3 lazima niende mkoani mbeya angalau kwa wiki moja kuangalia hizo mishine zao n akutatua matatizo yao kama yapo na maisha yanaendelea .

Kwahiyo wiki hizi ndio nilienda mimi na walishanizoea , lakini mwaka huu nilijuwana na dada mmoja hivi anafanya kazi pembeni mwa shirika hili yeye ni mama mahesabu , ananipenda sana mimi na wakati mwingine akinipigia simu huwa ananieleza kuhusu ngono jinsi tukikutana atakavyo nikumbatia , mabusu na mahaba mengine mazito mazito yaani amejichambua sana kuhusu maisha yake kule na anavyonizimia mimi .

Huyu dada alipata taarifa kwamba ntaenda kule , lakini huyu dada sijawahi kukutana nae zaidi ya kuchat nae tu na kuongea katika simu , dada wa watu alijiandaa sana kwa ajili ya kunipokea nikalale kwake yaani kitandani kwake na ile baridi anavyonihadithia anapenda kupata joto langu mambo kama hayo .

Nikatoka zangu huku jumatatu asubuhi saa 12 hivi kwa usafari wa Scandinavia , nilikatiwa tiketi mpaka mbeya lakini nilivyofika iringa pale makambako nilishuka katika gari hilo nikapanda basi lingine nilijua tu huyu dada atakuwa ameshaambiwa naenda na basi gani wakanipokee stendi ya mabasi hapo nilishmkwepa kwa kiasi kikubwa .

Muda wa saa 1 hivi usiku basi lilikuwa limeshaingia mbeya mjini mimi sikwenda kule mwanjelwa nikashukia sehemu moja inaitwa fire , hapo pembeni yake wala sikuchukuwa hoteli , nilipeleka vitu vyangu katika nyumba ndogo za wageni kwanza nione hali ya mambo inavyoenda kabla sijaamua mambo mengine .

Saa 3 hivi usiku ikatimia kama nilivyootea yule dada akanipigia kuniuliza kama nimeshafika mbeya , nilimuuliza amejuaje kama naenda mbeya ? akasema ameambiwa na receptionist wa pale kwa mkuu wa mkoa , kwahiyo hali ikawa hivyo sikuwa na jinsi ya kujitetea .

Lakini niliamua kumdangaya tu , nikamwambia safari imeahirishwa bwana , mpaka tutakapowaambia hapo baadaye mwezi huu kwahiyo nitaenda mkoani singida au mtwara kwa kazi kama hizo “ Ohh yona unasema kweli ? nilivyokuwa nakungoja kwa hamu hivyo nikupe mambo ? na majambo ?”

Basi nilienda kidogo katika internet café kwa ajili ya kumwandikia email yule receptionist wa pale kumweleza hali halisi kisha nikampigia simu kumweleza kuhusu niliandisha katika email kwa kifupi alinielewa kwahiyo kazi ikawa kwake asiseme kama nimekuja mbeya na wala nikifika kule asiniite jina langu akinitaka aniite SHY tu mengine sijui .

Asubuhi yake ikafika yaani jumanne , niliamka katika saa 3 hivi asubuhi , hapo nilienda kuweka vitu vyangu katika hoteli moja eneo la meta mjini mbeya karibu na kituo changu cha kazi nikamuuliza tena yule receptionist kama yule dada anayeningoja yuko karibu au la , kweli yule dada alikuwa mbali kidogo .

Nikatoka hapo kuelekea katika kituo cha kazi kufanya ile iliyonipeleka pale , niliifanya kwa masaa 3 hivi ndio nilimaliza kwahiyo nikarudi zangu katika hoteli , huku nilienda tu kujisafi kwa mara ya pili kubadilisha nguo na kuvaa kama mtoto wa kijiweni halafu nianze kutembelea mitaa ya mji wa mbeya kuongea na watu haswa vijana .

Mbeya kuna mambo ya ajabu na wakati mwingine ya kutisha kama hujazoea , maajabu yake ni kwamba “ HUU NDIO MJI WA PILI KWA WINGI WA MAKANISA BARANI AFRIKA “ Ni mji wenye makanisa mengi kuliko yote Afrika Mashariki Na Kati ,huu wingi wa makanisa yaani ukitembelea hatua 30 unakuta kanisa mbele yako au kama sio kanisa unakuta sehemu ya mahubiri mbele yako hata pembeni yako .

Huu wingi wa makanisa sio hoja kwamba watu wa huku wameshiba neno la mungu kiasi kwamba wanaweza kubadili maisha yao na kuwa mazuri zaidi au kuwa bora zaidi la hasha , wamejawa na neno la mungu mpaka limepasuka yaani wamekinai neno la mungu sasa wanaona kuwa na makanisa ni fasheni .

Huu ndio mji unaoongoza kwa kukua kwa maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi katika afrika ukiachilia jberg , huu unafuatia , kutokana na kwanza uko Mpakani , watu wengi wa afrika ya kusini wanapoingia Tanzania kwa njia ya lami hupitia mbeya kuja dsm , wale wa Zambia nao ni mbeya , Botswana na kadhalika ni mji ulio katika majaribu mengi sana .

Unaona makanisa mengi , watu wengi wameokoka na kadhalika lakini watu wanaangamia kwa ugonjwa wa ukimwi kila kukicha na wenyewe wenyeji wa hapa wengi hawaamini kama kuna ukimwi wanaamini mtu akifariki basi amefariki kutokana na mungu kumwita amechoka maisha ya dunia , wengine ndio hizo imani zao akifa mwenzao amelogwa na mambo kama hayo .

Hapa mjini ukikutana na wasichana 5 basi 3 wanamarafiki wa kiume ambao sio wanafunzi wenzao yaani watu wa nje tu , wamachinga na madereva au watu wa shuguli zingine , hii inaadhiri sana hawa vijana utendaji wao madarasani , maishani na katika maamuzi mengine muhimu katika maisha yao kutokana na nguvu za watu wengine wa nje hawa wafanya biashara .

Mimi hoteli niliyofikia ilikuwa karibu na barabara kidogo , nilikutana na wanamuziki wa bendi ya Akudo Sound , hawa wanamuziki wacheza shoo wao wale wasichana wote ni chini ya miaka 22 , basi hapa katika hii hotel unachukuwa chumba halafu wahudumu wanakuuliza kama unapenda kupata dada wa kuishi nae wakati wote uko hapo katika hoteli .

Yaani huyu msichana atakuwa anakufulia nguo zako ulizokuja nazo na kukunyooshea wakati haupo , anakupa huduma ya ngono ( HII NDIO HUDUMA KUU ) , ukipenda atakuwa anakupikia pamoja na mambo mengine kukuogesha , na vitu kama hivyo , sasa unamwangalia huyu msichana mrembo ( WENGI WAO NI WAREMBO HASWA ) ametulia ana miaka chini ya 25 kwanini anakuja kujiuza huku , amekosa nii maishani mpaka amekuja katika hizi hoteli kujiuza .

Ukikataa kuchukuwa msichana inawezekana usiku wanakusumbua kwa kelele kule katika bar au dirishani mwako , wanakuuliza kama unataka huduma au la , kama hutaki wengine wanaaza kukutusi na maneno mengine ambayo siwezi kuyataja kama wewe shoga nini ? Unaliwa kiboga ? yote haya kisa umemkataa .

Ndio unaweza kuamua kumchukuwa , ukimchukuwa tu ujue sio wewe peke yako uliyemchukuwa labda wiki nzima hajalala kwao au kwake yuko pale anatoa huduma kwa wateja mbali mbali , kila siku yuko katika ngono na mambo mengine yasiyo na msingi kwa binadamu wa kawaida kama ameadhirika basi na wewe uko njiani , safari yako inakuja nap engine unaweza kuadhibiwa zaidi .

Saa zingine unaweza kutoka chumbani kwako katika corridor msichana anaweza kukuvulia chupi ? anakuonyesha alivyoumbika , ni kigiza hivi huoni vizuri lakini ukiona msiri wa chupi unalegea na kuteremka chini utasimama uangalie kunani , wengine utakuta wamesimama katika corridor na nguo zinazoonyesha maungo yao kazi ni kwako wewe mtazamaji yaani mimi niangalie nimekubali nichukuwe mzigo ?

Naweza kukubali , kukubali ni rahisi sana kwasababu inasemekana huyu msichana kukaa nae kwa usiku mmoja ni alfu 2 yaani hii alfu mbili hata kondom yaa maana hupati kama unaamua kulala nae na kutumia kinga , kinga zenyewe haziaminiki ya nini kufanya vile wakati najua wako zaidi yake ? na nikwambie siri wanawake wa mbeya wengi ni wanawake asili ya kiafrika yaani wamejazia ndio hapo sasa mate yanakutoka udenda njee , vishawishi na mambo mengine ya usheee .

Kwahiyo ndio hivyo , kesho yake nilitoka katika hoteli hii nikaenda katika hoteli ingine nikawe huru zaidi kwakuwa nilipenda kupiga picha mji ule wakati wa usiku niwatumie baadhi ya rafiki zangu wengine wanaopenda kujua zaidi kuhusu mji wa mbeya na mambo yake , ndio hivyo niliwakimbia hawa wadada mwaaah .

Siku ya pili ni kwenda kuandika report kuhusu ile kazi ya jana na kufanya majaribio kuhusu mashine zingine , kuwauliza maswali kadhaa kama wanamatatizo yoyote yale na kadhalika , kwahiyo hawakuwa na matatizo yoyote kwahiyo niliwaaga kutoka pale nikaanza safari ya kwenda tukuyu sikuwahi kufika tukuyu nilipenda kufika tu kwa kuwa kuna baadhi ya rafiki zangu wanatokea mkoa huu .

Nilifika pale muda wa saa 9 hivi jioni , nikatafuta sehemu ya kupumzika nikapata nikaenda kuhifadhi vitu vyangu , nikabeba kamera yangu , na kitabu changu kidogo kuanza kwenda mitaani , nilibahatika kuona internet café moja jirani pale , nikaingia ndani mule kufanya shuguli zangu .

Basi nilifika katika internet café hii niliwaambia watu kwamba niko mkoani mbeya sehemu inaitwa tukuyu , kuna baadhi ya watu ni wenyeji wa mkoa wa mbeya tulikuwa tunachat pamoja wengine wanatokea tukuyu na kyela , wakanielekeza makwao niwatembelee na wengine walihitaji salamu kutoka kwao .

Ndio hivyo nilipata marafiki wapya wa mkoani mbeya kw anjia ya mtandao , basi pale nilipokuwa jirani kidogo kama kilometa 10 hivi ndio sehemu ya kwanza nilitakiwa kwenda , nilifanikiwa kwenda mpaka kwa hiyo nyumba niliyoelekezwa na rafiki wa internet niliongea nao na kuwapa namba za simu za huyo ndugu yao aliye majuu , kwingine ni kyela lakini kyela mpaka kesho yake safari yangu ya mwisho .

Muda wa saa 3 hivi usiku nilitoka zangu kule mtaani nikarudi zangu katika nyumba niliyofikia , nilienda kuweka vitu vyangu na nikabadilisha mavazi kama ya kijana mtanashati , mwenye aibu sana , niliyekuwa mpweke nahitaji huduma Fulani ??? huduma ya ……?? Nikakaa pale katika bar , nikaagiza nyama choma nikawa nakula na glasi ya juisi .

Dada mmoja hivi ametokea zake huko sijui wapi akaja pale , akakaa mbele yangu nikamkaribisha vizuri sana kwa roho moja tukaanza kuongea , huyu msichana ni mrembo na amejazia kuanzia kigua , miguu na kadhalika hakika huyu ni masha alah kama nilivyokuambia wasichana wengi wa mkoa wa mbeya wamejazia au sio ?

Mrembo wa watu tukaongea kwa masaa 2 hivi mpaka saa 5 usiku , akaniomba namba ya simu nikampa , pia aliniuliza wapi ninapolala usiku huo , kama niko na mke au mtu maalumu usiku huo , nilimjibu sina niko mwenyewe tu na ninapenda kuwa mwenyewe hivyo hivyo inavutia zaidi au sio ?

Dada wa watu aliondoka , nami niliondoka zangu kurudi katika chumba kwa ajili ya mapumziko ya siku ile , basi nilipofika kule kwa hoteli muda kidogo yule dada aliniandikia sms inasema ‘ DEAR , UKO WAPI NIJE ? NINASIKIA BARIDI SANA NAHITAJI JOTO LAKO “ mhh nikakumbuka ni mambo yale yale nilivyokimbia kule mbeya mjini .

Nami nilimjibu “ JAMANI DEAR MBONA NA MIMI NASIKIA BARIDI NIMEJIFUNGIA CHUMBANI FUNGUO SIJUI IKO WAPI USIJE BWANA “ huyu dada akasoma msg yangu nilipokea jibu lake “ WE XXXNGE SANA , KWANINI ULINITONGOZA ? tukaendelea kubishana katika simu “ AHH NIMEKUTONGOZA ? SI BORA NIKATONGOZA NGOMBE AU MBUZI ? “

DADA : YAANI UNANIJIBU HIVYO ?
YONA : NDIO , BORA NITONGOZE NGOMBE

Basi nilizima ile simu yangu ili niwe huru zaidi nilale , kweli nikalala zangu mpaka usiku saa 10 hivi , nikaamka , nikaenda kwa yule mlinzi wa pale kumwambia anifungulie geti nataka kutoka nje akakataa akasema mpaka nimwambie receptionist wa pale naye alikuwa amelala , basi nilijaribu kumgongea hakuamka .

Uvumilivu ulinishinda , nilienda katika begi langu nikachukuwa vifaa nikatengua kitacha cha mlango wake mpaka ndani kwake nilimkuta yuko juu ya msichana Fulani katika fani ahaha , nilitaka kucheka lakini siku cheka , nilimfuata moja kwa moja mpaka pale nikamfunua shuka lile nikamshuka kitandani na kumpiga teke kidogo akajigonga katika kabati la nguo mule chumbani .

Nikimwomba sasa anifungulie mlango nitoke ndani ya ile hoteli kuna sehemu nataka kwenda , alitaka kuvaa nguo nikazichukuwa nguo pamoja na za yule msichana wote nikazitupa nje ya mlango ili anipe funguo nikafungue mwenyewe , alibisha nilivyomwomba basi nikamfuata tena kumtisha .

Ndio alisalimu amri akanipa funguo zile mimi huyo na begi langu nikatoka nje , nilikuta taxi pale karibu na hoteli lilinikimbiza mpaka kituo cha gari kupata basi la kuelekea kyela nikakata tiketi zangu pale na kupakiza vitu vyangu katika gari lile .

Kyela nilifika salama sana , nikafanya na kutekeleza yaliyonipeleka kule mwisho siku hiyo niliyo usiku nilirudi mbeya mjini ili nijiandae kwa safari ya kurudi zangu mjini dare s salaam kama kawaida , nilifika mbeya mjini katika saa 5 hivi za usiku moja kwa moja nilielekea katika nyumba ya wageni kwenda kupumzika .

Kesho yake ya asbuhi ilikuwa ni saa 11 hivi niliamka mapema nikajiandaa kwenda standi ya basi nikapata basin a safari ya kuja dare s salaam ilianza na kunoga kama kawaid nilifika jiji la mzizima nikiwa salama salmin na mwenye afya tele .

Nilifika muda wa saa 10 hivi , nikaja zangu hapa katika office kuleta report za huko kisha nikakimbilia katika mtando usiku huo huo kwa ajili ya kutuma hizi picha kwa watu Fulani marafiki zangu .

Na huo ndio ukawa mwisho wa safari yangu maridadi mkoani mbeya nilienjoy vya kutosha , karibuni nitaenda mkoani Mtwara , Lindi , Dodoma , Morogoro , Singida na Arusha kwa ajili ya kazi hizi hizi tuone itakuaje

Sikiliza tu
 
Duniani kuna mambo mengi sana , ambayo mengine ni kama vibaya kuhadithia kwa wengine kama labda ni wenyeji wa huko au labda kama wana mahusiano na kitu hicho inakuwa mbaya haswa kwa wale wasiopenda kujua ukweli wa mambo , lakini wote tunakubaliana kitu kimoja bila kusemeana ukweli hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa na binadamu kwa njia yoyote ile hata kwa nini .

Ntakupa mifano michache mfano huku afrika na sehemu zingine za bara asia na amerika ya kusini , viongozi ni waongo , wamewajengea mpaka watoto wao na vizazi vingine uwongo kiasi kwamba mtu akisema ukweli anaonekana muasi mbaguzi au pengine mchonganishi wanabakia kulalia uongo siku zote hawaendelezi vizazi na watoto wao katika secta ya sayansi na elimu ambayo inahitahi ukweli na uwazi kila kitu uwongo na ulaghai

Hata katika mila na desturi , huku afrika mila na desturi za uongo ni fani , angalia hili suala la ushirikina ?? ushirikina ni mali ya mwafrika na huku imejaa sana lakini ushirikina ni uwongo mtupu ni ujanja ambao mwingine akifundishwa ana adapt na unaweza kutumika kwa faida nyingi tu katika maendeleo na makuzi ya watu wengine hii ni sayansi inayohitaji kuwekwa wazi ila ndio hivyo uwongo umetuzidi mpaka tunajichukia .

Mimi huwa napenda kusema kila ninachojisia kinanivutia na nimeshuhudia mwenyewe kwahiyo sio uwongo napenda kuandika kwa njia ya hadithi au makala kwa watu haswa mafariki zangu , juzi nilikuwa mkoani mbeya na hayo niliyoandika ndio hali halisi ya watu wa mkoa ule wanavyoishi wengi wao hata kama wakikataa na kubisha wanakataa lakini wajomba zao , mama zao , wadogo zao na majirani zao wanaangamia .

Haswa katika hili suala tata la ugonjwa wa ukimwi , huu tuuangalie kwa pande 3 kuu yaani mimi , wewe na yule ( wale ) tuna nafasi gani katika kuendeleza jamii zilizobora ambazo hazisumbuliwi na jinamizi la ugonjwa wa ukimwi wala matatizo yoyote wote wakue vizuri waje kuwa taifa bora watoe mchango kwa majirani zao na vizazi vijavyo ?

Usijali bwana ( KILA MTU NA MAISHA YAKE AU SIO )

Ehe vipi mambo hapo ulipo ??


Hapa ni salama sana , maisha ni bam bam naweza kusema , sasa hivi ni mchana wa saa 6 hivi inaelekea saa 7 kamili , ni lunch time kwa wengine ila mimi huwa nakula chakula cha mchana kuanzia saa 9 hivi au saa 10 jioni halafu usiku huwa sili chakula napenda kula samaki na karanga hiyo ndio furaha ya maisha yangu ya kila siku , kila mtu anaamua na kutenda anachoona kinafaa au sio ?

Basi kipindi hichi cha karibuni wiki hizi 2 nilienda mbeya kwa ajili ya kazi katika offisi moja hili ni shirika la uingereza kazi yake ni kusaidia watu wa manispaa na miji katika ukusanyaji wa kodi na mapato na katika kuwafundisha zaidi kuendana na uchumi wa dunia jinsi unavyokuwa kila siku .

Shiriki hili tuna mkataba nalo wa mambo ya ufundi na shuguli zingine zinazohusu data na ukaguzi wa vifaa vyao vya mawasiliano , kutokana na mkataba huu kila baada ya miezi 3 lazima niende mkoani mbeya angalau kwa wiki moja kuangalia hizo mishine zao n akutatua matatizo yao kama yapo na maisha yanaendelea .

Kwahiyo wiki hizi ndio nilienda mimi na walishanizoea , lakini mwaka huu nilijuwana na dada mmoja hivi anafanya kazi pembeni mwa shirika hili yeye ni mama mahesabu , ananipenda sana mimi na wakati mwingine akinipigia simu huwa ananieleza kuhusu ngono jinsi tukikutana atakavyo nikumbatia , mabusu na mahaba mengine mazito mazito yaani amejichambua sana kuhusu maisha yake kule na anavyonizimia mimi .

Huyu dada alipata taarifa kwamba ntaenda kule , lakini huyu dada sijawahi kukutana nae zaidi ya kuchat nae tu na kuongea katika simu , dada wa watu alijiandaa sana kwa ajili ya kunipokea nikalale kwake yaani kitandani kwake na ile baridi anavyonihadithia anapenda kupata joto langu mambo kama hayo .

Nikatoka zangu huku jumatatu asubuhi saa 12 hivi kwa usafari wa Scandinavia , nilikatiwa tiketi mpaka mbeya lakini nilivyofika iringa pale makambako nilishuka katika gari hilo nikapanda basi lingine nilijua tu huyu dada atakuwa ameshaambiwa naenda na basi gani wakanipokee stendi ya mabasi hapo nilishmkwepa kwa kiasi kikubwa .

Muda wa saa 1 hivi usiku basi lilikuwa limeshaingia mbeya mjini mimi sikwenda kule mwanjelwa nikashukia sehemu moja inaitwa fire , hapo pembeni yake wala sikuchukuwa hoteli , nilipeleka vitu vyangu katika nyumba ndogo za wageni kwanza nione hali ya mambo inavyoenda kabla sijaamua mambo mengine .

Saa 3 hivi usiku ikatimia kama nilivyootea yule dada akanipigia kuniuliza kama nimeshafika mbeya , nilimuuliza amejuaje kama naenda mbeya ? akasema ameambiwa na receptionist wa pale kwa mkuu wa mkoa , kwahiyo hali ikawa hivyo sikuwa na jinsi ya kujitetea .

Lakini niliamua kumdangaya tu , nikamwambia safari imeahirishwa bwana , mpaka tutakapowaambia hapo baadaye mwezi huu kwahiyo nitaenda mkoani singida au mtwara kwa kazi kama hizo “ Ohh yona unasema kweli ? nilivyokuwa nakungoja kwa hamu hivyo nikupe mambo ? na majambo ?”

Basi nilienda kidogo katika internet café kwa ajili ya kumwandikia email yule receptionist wa pale kumweleza hali halisi kisha nikampigia simu kumweleza kuhusu niliandisha katika email kwa kifupi alinielewa kwahiyo kazi ikawa kwake asiseme kama nimekuja mbeya na wala nikifika kule asiniite jina langu akinitaka aniite SHY tu mengine sijui .

Asubuhi yake ikafika yaani jumanne , niliamka katika saa 3 hivi asubuhi , hapo nilienda kuweka vitu vyangu katika hoteli moja eneo la meta mjini mbeya karibu na kituo changu cha kazi nikamuuliza tena yule receptionist kama yule dada anayeningoja yuko karibu au la , kweli yule dada alikuwa mbali kidogo .

Nikatoka hapo kuelekea katika kituo cha kazi kufanya ile iliyonipeleka pale , niliifanya kwa masaa 3 hivi ndio nilimaliza kwahiyo nikarudi zangu katika hoteli , huku nilienda tu kujisafi kwa mara ya pili kubadilisha nguo na kuvaa kama mtoto wa kijiweni halafu nianze kutembelea mitaa ya mji wa mbeya kuongea na watu haswa vijana .

Mbeya kuna mambo ya ajabu na wakati mwingine ya kutisha kama hujazoea , maajabu yake ni kwamba “ HUU NDIO MJI WA PILI KWA WINGI WA MAKANISA BARANI AFRIKA “ Ni mji wenye makanisa mengi kuliko yote Afrika Mashariki Na Kati ,huu wingi wa makanisa yaani ukitembelea hatua 30 unakuta kanisa mbele yako au kama sio kanisa unakuta sehemu ya mahubiri mbele yako hata pembeni yako .

Huu wingi wa makanisa sio hoja kwamba watu wa huku wameshiba neno la mungu kiasi kwamba wanaweza kubadili maisha yao na kuwa mazuri zaidi au kuwa bora zaidi la hasha , wamejawa na neno la mungu mpaka limepasuka yaani wamekinai neno la mungu sasa wanaona kuwa na makanisa ni fasheni .

Huu ndio mji unaoongoza kwa kukua kwa maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi katika afrika ukiachilia jberg , huu unafuatia , kutokana na kwanza uko Mpakani , watu wengi wa afrika ya kusini wanapoingia Tanzania kwa njia ya lami hupitia mbeya kuja dsm , wale wa Zambia nao ni mbeya , Botswana na kadhalika ni mji ulio katika majaribu mengi sana .

Unaona makanisa mengi , watu wengi wameokoka na kadhalika lakini watu wanaangamia kwa ugonjwa wa ukimwi kila kukicha na wenyewe wenyeji wa hapa wengi hawaamini kama kuna ukimwi wanaamini mtu akifariki basi amefariki kutokana na mungu kumwita amechoka maisha ya dunia , wengine ndio hizo imani zao akifa mwenzao amelogwa na mambo kama hayo .

Hapa mjini ukikutana na wasichana 5 basi 3 wanamarafiki wa kiume ambao sio wanafunzi wenzao yaani watu wa nje tu , wamachinga na madereva au watu wa shuguli zingine , hii inaadhiri sana hawa vijana utendaji wao madarasani , maishani na katika maamuzi mengine muhimu katika maisha yao kutokana na nguvu za watu wengine wa nje hawa wafanya biashara .

Mimi hoteli niliyofikia ilikuwa karibu na barabara kidogo , nilikutana na wanamuziki wa bendi ya Akudo Sound , hawa wanamuziki wacheza shoo wao wale wasichana wote ni chini ya miaka 22 , basi hapa katika hii hotel unachukuwa chumba halafu wahudumu wanakuuliza kama unapenda kupata dada wa kuishi nae wakati wote uko hapo katika hoteli .

Yaani huyu msichana atakuwa anakufulia nguo zako ulizokuja nazo na kukunyooshea wakati haupo , anakupa huduma ya ngono ( HII NDIO HUDUMA KUU ) , ukipenda atakuwa anakupikia pamoja na mambo mengine kukuogesha , na vitu kama hivyo , sasa unamwangalia huyu msichana mrembo ( WENGI WAO NI WAREMBO HASWA ) ametulia ana miaka chini ya 25 kwanini anakuja kujiuza huku , amekosa nii maishani mpaka amekuja katika hizi hoteli kujiuza .

Ukikataa kuchukuwa msichana inawezekana usiku wanakusumbua kwa kelele kule katika bar au dirishani mwako , wanakuuliza kama unataka huduma au la , kama hutaki wengine wanaaza kukutusi na maneno mengine ambayo siwezi kuyataja kama wewe shoga nini ? Unaliwa kiboga ? yote haya kisa umemkataa .

Ndio unaweza kuamua kumchukuwa , ukimchukuwa tu ujue sio wewe peke yako uliyemchukuwa labda wiki nzima hajalala kwao au kwake yuko pale anatoa huduma kwa wateja mbali mbali , kila siku yuko katika ngono na mambo mengine yasiyo na msingi kwa binadamu wa kawaida kama ameadhirika basi na wewe uko njiani , safari yako inakuja nap engine unaweza kuadhibiwa zaidi .

Saa zingine unaweza kutoka chumbani kwako katika corridor msichana anaweza kukuvulia chupi ? anakuonyesha alivyoumbika , ni kigiza hivi huoni vizuri lakini ukiona msiri wa chupi unalegea na kuteremka chini utasimama uangalie kunani , wengine utakuta wamesimama katika corridor na nguo zinazoonyesha maungo yao kazi ni kwako wewe mtazamaji yaani mimi niangalie nimekubali nichukuwe mzigo ?

Naweza kukubali , kukubali ni rahisi sana kwasababu inasemekana huyu msichana kukaa nae kwa usiku mmoja ni alfu 2 yaani hii alfu mbili hata kondom yaa maana hupati kama unaamua kulala nae na kutumia kinga , kinga zenyewe haziaminiki ya nini kufanya vile wakati najua wako zaidi yake ? na nikwambie siri wanawake wa mbeya wengi ni wanawake asili ya kiafrika yaani wamejazia ndio hapo sasa mate yanakutoka udenda njee , vishawishi na mambo mengine ya usheee .

Kwahiyo ndio hivyo , kesho yake nilitoka katika hoteli hii nikaenda katika hoteli ingine nikawe huru zaidi kwakuwa nilipenda kupiga picha mji ule wakati wa usiku niwatumie baadhi ya rafiki zangu wengine wanaopenda kujua zaidi kuhusu mji wa mbeya na mambo yake , ndio hivyo niliwakimbia hawa wadada mwaaah .

Siku ya pili ni kwenda kuandika report kuhusu ile kazi ya jana na kufanya majaribio kuhusu mashine zingine , kuwauliza maswali kadhaa kama wanamatatizo yoyote yale na kadhalika , kwahiyo hawakuwa na matatizo yoyote kwahiyo niliwaaga kutoka pale nikaanza safari ya kwenda tukuyu sikuwahi kufika tukuyu nilipenda kufika tu kwa kuwa kuna baadhi ya rafiki zangu wanatokea mkoa huu .

Nilifika pale muda wa saa 9 hivi jioni , nikatafuta sehemu ya kupumzika nikapata nikaenda kuhifadhi vitu vyangu , nikabeba kamera yangu , na kitabu changu kidogo kuanza kwenda mitaani , nilibahatika kuona internet café moja jirani pale , nikaingia ndani mule kufanya shuguli zangu .

Basi nilifika katika internet café hii niliwaambia watu kwamba niko mkoani mbeya sehemu inaitwa tukuyu , kuna baadhi ya watu ni wenyeji wa mkoa wa mbeya tulikuwa tunachat pamoja wengine wanatokea tukuyu na kyela , wakanielekeza makwao niwatembelee na wengine walihitaji salamu kutoka kwao .

Ndio hivyo nilipata marafiki wapya wa mkoani mbeya kw anjia ya mtandao , basi pale nilipokuwa jirani kidogo kama kilometa 10 hivi ndio sehemu ya kwanza nilitakiwa kwenda , nilifanikiwa kwenda mpaka kwa hiyo nyumba niliyoelekezwa na rafiki wa internet niliongea nao na kuwapa namba za simu za huyo ndugu yao aliye majuu , kwingine ni kyela lakini kyela mpaka kesho yake safari yangu ya mwisho .

Muda wa saa 3 hivi usiku nilitoka zangu kule mtaani nikarudi zangu katika nyumba niliyofikia , nilienda kuweka vitu vyangu na nikabadilisha mavazi kama ya kijana mtanashati , mwenye aibu sana , niliyekuwa mpweke nahitaji huduma Fulani ??? huduma ya ……?? Nikakaa pale katika bar , nikaagiza nyama choma nikawa nakula na glasi ya juisi .

Dada mmoja hivi ametokea zake huko sijui wapi akaja pale , akakaa mbele yangu nikamkaribisha vizuri sana kwa roho moja tukaanza kuongea , huyu msichana ni mrembo na amejazia kuanzia kigua , miguu na kadhalika hakika huyu ni masha alah kama nilivyokuambia wasichana wengi wa mkoa wa mbeya wamejazia au sio ?

Mrembo wa watu tukaongea kwa masaa 2 hivi mpaka saa 5 usiku , akaniomba namba ya simu nikampa , pia aliniuliza wapi ninapolala usiku huo , kama niko na mke au mtu maalumu usiku huo , nilimjibu sina niko mwenyewe tu na ninapenda kuwa mwenyewe hivyo hivyo inavutia zaidi au sio ?

Dada wa watu aliondoka , nami niliondoka zangu kurudi katika chumba kwa ajili ya mapumziko ya siku ile , basi nilipofika kule kwa hoteli muda kidogo yule dada aliniandikia sms inasema ‘ DEAR , UKO WAPI NIJE ? NINASIKIA BARIDI SANA NAHITAJI JOTO LAKO “ mhh nikakumbuka ni mambo yale yale nilivyokimbia kule mbeya mjini .

Nami nilimjibu “ JAMANI DEAR MBONA NA MIMI NASIKIA BARIDI NIMEJIFUNGIA CHUMBANI FUNGUO SIJUI IKO WAPI USIJE BWANA “ huyu dada akasoma msg yangu nilipokea jibu lake “ WE XXXNGE SANA , KWANINI ULINITONGOZA ? tukaendelea kubishana katika simu “ AHH NIMEKUTONGOZA ? SI BORA NIKATONGOZA NGOMBE AU MBUZI ? “

DADA : YAANI UNANIJIBU HIVYO ?
YONA : NDIO , BORA NITONGOZE NGOMBE

Basi nilizima ile simu yangu ili niwe huru zaidi nilale , kweli nikalala zangu mpaka usiku saa 10 hivi , nikaamka , nikaenda kwa yule mlinzi wa pale kumwambia anifungulie geti nataka kutoka nje akakataa akasema mpaka nimwambie receptionist wa pale naye alikuwa amelala , basi nilijaribu kumgongea hakuamka .

Uvumilivu ulinishinda , nilienda katika begi langu nikachukuwa vifaa nikatengua kitacha cha mlango wake mpaka ndani kwake nilimkuta yuko juu ya msichana Fulani katika fani ahaha , nilitaka kucheka lakini siku cheka , nilimfuata moja kwa moja mpaka pale nikamfunua shuka lile nikamshuka kitandani na kumpiga teke kidogo akajigonga katika kabati la nguo mule chumbani .

Nikimwomba sasa anifungulie mlango nitoke ndani ya ile hoteli kuna sehemu nataka kwenda , alitaka kuvaa nguo nikazichukuwa nguo pamoja na za yule msichana wote nikazitupa nje ya mlango ili anipe funguo nikafungue mwenyewe , alibisha nilivyomwomba basi nikamfuata tena kumtisha .

Ndio alisalimu amri akanipa funguo zile mimi huyo na begi langu nikatoka nje , nilikuta taxi pale karibu na hoteli lilinikimbiza mpaka kituo cha gari kupata basi la kuelekea kyela nikakata tiketi zangu pale na kupakiza vitu vyangu katika gari lile .

Kyela nilifika salama sana , nikafanya na kutekeleza yaliyonipeleka kule mwisho siku hiyo niliyo usiku nilirudi mbeya mjini ili nijiandae kwa safari ya kurudi zangu mjini dare s salaam kama kawaida , nilifika mbeya mjini katika saa 5 hivi za usiku moja kwa moja nilielekea katika nyumba ya wageni kwenda kupumzika .

Kesho yake ya asbuhi ilikuwa ni saa 11 hivi niliamka mapema nikajiandaa kwenda standi ya basi nikapata basin a safari ya kuja dare s salaam ilianza na kunoga kama kawaid nilifika jiji la mzizima nikiwa salama salmin na mwenye afya tele .

Nilifika muda wa saa 10 hivi , nikaja zangu hapa katika office kuleta report za huko kisha nikakimbilia katika mtando usiku huo huo kwa ajili ya kutuma hizi picha kwa watu Fulani marafiki zangu .

Na huo ndio ukawa mwisho wa safari yangu maridadi mkoani mbeya nilienjoy vya kutosha , karibuni nitaenda mkoani Mtwara , Lindi , Dodoma , Morogoro , Singida na Arusha kwa ajili ya kazi hizi hizi tuone itakuaje

Sikiliza tu
kazi unayo,wewe hata kazi yako hufanyi inavyotakiwa unakazana kuandika habari za mtaani,peleka visa vyako kwa shigongo,na bahati yako hawajakukaba we jifanye jerry muro.singida najua watakupa discpline tu.
 
Mbona hutusimulia habari ya Arusha mitaa ya Levolosi na pale nyuma ya Golden Rose kwenye bar ya Mrina tembelea huko uliyosimulia ya Mbeya ni cha mtoto,tunasubiri ripoti
 
Kaka nimependa sana story yako, hakika haya mambo yapo sana kuna jamaa zangu walienda fanya promotion Mwanza, unaambiwa Guest walipolala jiono kwenye saa kumi na mbili mlinzi wa hapo akawafuata na kuwaambia km wanataka totoz wamwambie ana namba za simu kibao, jamaa wakakataa, likn ilipofika saa mbili usiku wakaja wasichana km saba hivi wanajizungusha zungusha pale, wanajinywea vi bia wakitega nyavu zao. jamaa wakajua kabisa hawa wanatafuta KAZI za USIKU. wakatokomea zao vyumbani kwao kimyaaa, wale mademu walivyoona jamaa wamewakimbia wakatoa toa kashfa pale na kuondoka
 
Tatizo unafikia hoteli za uswahilini...

Ripoti yako iko biased sana na haina ukwlei wowote,watu tunaenda mbeya mara kibao hayo mambo yanakukuta wewe tu?
 
Ulichosema ni kweli na kinasikitisha kiukweli, lakini naona hujatembea mikoani mda mrefu, hayo ni ya kawaida sana maeneo mengi tu nchini kwa sasa!!
Lakini hongera pia kwa kukemea uchafu huo.
 
ukweli unauma lakini yote aliyoandika ni kweli kabisa. Mimi kwa sasa niko mbeya na hayo asemayo ni kama nimemtuma aandike. Mkoa huu akina dada ni majasiri sana katika mambo hayo.
sioni haja ya kumsakama kwa aliyosema kwani kuna mengine huandikwa pasi kuwa na kichwa wala miguu.
naomba aendelee na taarifa hizo kwenye mikoa mingine kwangu naona itasaidia kwenye utafiti ambao ninaufanya kuhusu mambo ya vvu na uhamasishaji wa namna ya kujikinga na janga kama umeleta afueni au la
 
Duniani kuna mambo mengi sana , ambayo mengine ni kama vibaya kuhadithia kwa wengine kama labda ni wenyeji wa huko au labda kama wana mahusiano na kitu hicho inakuwa mbaya haswa kwa wale wasiopenda kujua ukweli wa mambo , lakini wote tunakubaliana kitu kimoja bila kusemeana ukweli hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa na binadamu kwa njia yoyote ile hata kwa nini .

Ntakupa mifano michache mfano huku afrika na sehemu zingine za bara asia na amerika ya kusini , viongozi ni waongo , wamewajengea mpaka watoto wao na vizazi vingine uwongo kiasi kwamba mtu akisema ukweli anaonekana muasi mbaguzi au pengine mchonganishi wanabakia kulalia uongo siku zote hawaendelezi vizazi na watoto wao katika secta ya sayansi na elimu ambayo inahitahi ukweli na uwazi kila kitu uwongo na ulaghai

Hata katika mila na desturi , huku afrika mila na desturi za uongo ni fani , angalia hili suala la ushirikina ?? ushirikina ni mali ya mwafrika na huku imejaa sana lakini ushirikina ni uwongo mtupu ni ujanja ambao mwingine akifundishwa ana adapt na unaweza kutumika kwa faida nyingi tu katika maendeleo na makuzi ya watu wengine hii ni sayansi inayohitaji kuwekwa wazi ila ndio hivyo uwongo umetuzidi mpaka tunajichukia .

Mimi huwa napenda kusema kila ninachojisia kinanivutia na nimeshuhudia mwenyewe kwahiyo sio uwongo napenda kuandika kwa njia ya hadithi au makala kwa watu haswa mafariki zangu , juzi nilikuwa mkoani mbeya na hayo niliyoandika ndio hali halisi ya watu wa mkoa ule wanavyoishi wengi wao hata kama wakikataa na kubisha wanakataa lakini wajomba zao , mama zao , wadogo zao na majirani zao wanaangamia .

Haswa katika hili suala tata la ugonjwa wa ukimwi , huu tuuangalie kwa pande 3 kuu yaani mimi , wewe na yule ( wale ) tuna nafasi gani katika kuendeleza jamii zilizobora ambazo hazisumbuliwi na jinamizi la ugonjwa wa ukimwi wala matatizo yoyote wote wakue vizuri waje kuwa taifa bora watoe mchango kwa majirani zao na vizazi vijavyo ?

Usijali bwana ( KILA MTU NA MAISHA YAKE AU SIO )

Ehe vipi mambo hapo ulipo ??


Hapa ni salama sana , maisha ni bam bam naweza kusema , sasa hivi ni mchana wa saa 6 hivi inaelekea saa 7 kamili , ni lunch time kwa wengine ila mimi huwa nakula chakula cha mchana kuanzia saa 9 hivi au saa 10 jioni halafu usiku huwa sili chakula napenda kula samaki na karanga hiyo ndio furaha ya maisha yangu ya kila siku , kila mtu anaamua na kutenda anachoona kinafaa au sio ?

Basi kipindi hichi cha karibuni wiki hizi 2 nilienda mbeya kwa ajili ya kazi katika offisi moja hili ni shirika la uingereza kazi yake ni kusaidia watu wa manispaa na miji katika ukusanyaji wa kodi na mapato na katika kuwafundisha zaidi kuendana na uchumi wa dunia jinsi unavyokuwa kila siku .

Shiriki hili tuna mkataba nalo wa mambo ya ufundi na shuguli zingine zinazohusu data na ukaguzi wa vifaa vyao vya mawasiliano , kutokana na mkataba huu kila baada ya miezi 3 lazima niende mkoani mbeya angalau kwa wiki moja kuangalia hizo mishine zao n akutatua matatizo yao kama yapo na maisha yanaendelea .

Kwahiyo wiki hizi ndio nilienda mimi na walishanizoea , lakini mwaka huu nilijuwana na dada mmoja hivi anafanya kazi pembeni mwa shirika hili yeye ni mama mahesabu , ananipenda sana mimi na wakati mwingine akinipigia simu huwa ananieleza kuhusu ngono jinsi tukikutana atakavyo nikumbatia , mabusu na mahaba mengine mazito mazito yaani amejichambua sana kuhusu maisha yake kule na anavyonizimia mimi .

Huyu dada alipata taarifa kwamba ntaenda kule , lakini huyu dada sijawahi kukutana nae zaidi ya kuchat nae tu na kuongea katika simu , dada wa watu alijiandaa sana kwa ajili ya kunipokea nikalale kwake yaani kitandani kwake na ile baridi anavyonihadithia anapenda kupata joto langu mambo kama hayo .

Nikatoka zangu huku jumatatu asubuhi saa 12 hivi kwa usafari wa Scandinavia , nilikatiwa tiketi mpaka mbeya lakini nilivyofika iringa pale makambako nilishuka katika gari hilo nikapanda basi lingine nilijua tu huyu dada atakuwa ameshaambiwa naenda na basi gani wakanipokee stendi ya mabasi hapo nilishmkwepa kwa kiasi kikubwa .

Muda wa saa 1 hivi usiku basi lilikuwa limeshaingia mbeya mjini mimi sikwenda kule mwanjelwa nikashukia sehemu moja inaitwa fire , hapo pembeni yake wala sikuchukuwa hoteli , nilipeleka vitu vyangu katika nyumba ndogo za wageni kwanza nione hali ya mambo inavyoenda kabla sijaamua mambo mengine .

Saa 3 hivi usiku ikatimia kama nilivyootea yule dada akanipigia kuniuliza kama nimeshafika mbeya , nilimuuliza amejuaje kama naenda mbeya ? akasema ameambiwa na receptionist wa pale kwa mkuu wa mkoa , kwahiyo hali ikawa hivyo sikuwa na jinsi ya kujitetea .

Lakini niliamua kumdangaya tu , nikamwambia safari imeahirishwa bwana , mpaka tutakapowaambia hapo baadaye mwezi huu kwahiyo nitaenda mkoani singida au mtwara kwa kazi kama hizo “ Ohh yona unasema kweli ? nilivyokuwa nakungoja kwa hamu hivyo nikupe mambo ? na majambo ?”

Basi nilienda kidogo katika internet café kwa ajili ya kumwandikia email yule receptionist wa pale kumweleza hali halisi kisha nikampigia simu kumweleza kuhusu niliandisha katika email kwa kifupi alinielewa kwahiyo kazi ikawa kwake asiseme kama nimekuja mbeya na wala nikifika kule asiniite jina langu akinitaka aniite SHY tu mengine sijui .

Asubuhi yake ikafika yaani jumanne , niliamka katika saa 3 hivi asubuhi , hapo nilienda kuweka vitu vyangu katika hoteli moja eneo la meta mjini mbeya karibu na kituo changu cha kazi nikamuuliza tena yule receptionist kama yule dada anayeningoja yuko karibu au la , kweli yule dada alikuwa mbali kidogo .

Nikatoka hapo kuelekea katika kituo cha kazi kufanya ile iliyonipeleka pale , niliifanya kwa masaa 3 hivi ndio nilimaliza kwahiyo nikarudi zangu katika hoteli , huku nilienda tu kujisafi kwa mara ya pili kubadilisha nguo na kuvaa kama mtoto wa kijiweni halafu nianze kutembelea mitaa ya mji wa mbeya kuongea na watu haswa vijana .

Mbeya kuna mambo ya ajabu na wakati mwingine ya kutisha kama hujazoea , maajabu yake ni kwamba “ HUU NDIO MJI WA PILI KWA WINGI WA MAKANISA BARANI AFRIKA “ Ni mji wenye makanisa mengi kuliko yote Afrika Mashariki Na Kati ,huu wingi wa makanisa yaani ukitembelea hatua 30 unakuta kanisa mbele yako au kama sio kanisa unakuta sehemu ya mahubiri mbele yako hata pembeni yako .

Huu wingi wa makanisa sio hoja kwamba watu wa huku wameshiba neno la mungu kiasi kwamba wanaweza kubadili maisha yao na kuwa mazuri zaidi au kuwa bora zaidi la hasha , wamejawa na neno la mungu mpaka limepasuka yaani wamekinai neno la mungu sasa wanaona kuwa na makanisa ni fasheni .

Huu ndio mji unaoongoza kwa kukua kwa maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi katika afrika ukiachilia jberg , huu unafuatia , kutokana na kwanza uko Mpakani , watu wengi wa afrika ya kusini wanapoingia Tanzania kwa njia ya lami hupitia mbeya kuja dsm , wale wa Zambia nao ni mbeya , Botswana na kadhalika ni mji ulio katika majaribu mengi sana .

Unaona makanisa mengi , watu wengi wameokoka na kadhalika lakini watu wanaangamia kwa ugonjwa wa ukimwi kila kukicha na wenyewe wenyeji wa hapa wengi hawaamini kama kuna ukimwi wanaamini mtu akifariki basi amefariki kutokana na mungu kumwita amechoka maisha ya dunia , wengine ndio hizo imani zao akifa mwenzao amelogwa na mambo kama hayo .

Hapa mjini ukikutana na wasichana 5 basi 3 wanamarafiki wa kiume ambao sio wanafunzi wenzao yaani watu wa nje tu , wamachinga na madereva au watu wa shuguli zingine , hii inaadhiri sana hawa vijana utendaji wao madarasani , maishani na katika maamuzi mengine muhimu katika maisha yao kutokana na nguvu za watu wengine wa nje hawa wafanya biashara .

Mimi hoteli niliyofikia ilikuwa karibu na barabara kidogo , nilikutana na wanamuziki wa bendi ya Akudo Sound , hawa wanamuziki wacheza shoo wao wale wasichana wote ni chini ya miaka 22 , basi hapa katika hii hotel unachukuwa chumba halafu wahudumu wanakuuliza kama unapenda kupata dada wa kuishi nae wakati wote uko hapo katika hoteli .

Yaani huyu msichana atakuwa anakufulia nguo zako ulizokuja nazo na kukunyooshea wakati haupo , anakupa huduma ya ngono ( HII NDIO HUDUMA KUU ) , ukipenda atakuwa anakupikia pamoja na mambo mengine kukuogesha , na vitu kama hivyo , sasa unamwangalia huyu msichana mrembo ( WENGI WAO NI WAREMBO HASWA ) ametulia ana miaka chini ya 25 kwanini anakuja kujiuza huku , amekosa nii maishani mpaka amekuja katika hizi hoteli kujiuza .

Ukikataa kuchukuwa msichana inawezekana usiku wanakusumbua kwa kelele kule katika bar au dirishani mwako , wanakuuliza kama unataka huduma au la , kama hutaki wengine wanaaza kukutusi na maneno mengine ambayo siwezi kuyataja kama wewe shoga nini ? Unaliwa kiboga ? yote haya kisa umemkataa .

Ndio unaweza kuamua kumchukuwa , ukimchukuwa tu ujue sio wewe peke yako uliyemchukuwa labda wiki nzima hajalala kwao au kwake yuko pale anatoa huduma kwa wateja mbali mbali , kila siku yuko katika ngono na mambo mengine yasiyo na msingi kwa binadamu wa kawaida kama ameadhirika basi na wewe uko njiani , safari yako inakuja nap engine unaweza kuadhibiwa zaidi .

Saa zingine unaweza kutoka chumbani kwako katika corridor msichana anaweza kukuvulia chupi ? anakuonyesha alivyoumbika , ni kigiza hivi huoni vizuri lakini ukiona msiri wa chupi unalegea na kuteremka chini utasimama uangalie kunani , wengine utakuta wamesimama katika corridor na nguo zinazoonyesha maungo yao kazi ni kwako wewe mtazamaji yaani mimi niangalie nimekubali nichukuwe mzigo ?

Naweza kukubali , kukubali ni rahisi sana kwasababu inasemekana huyu msichana kukaa nae kwa usiku mmoja ni alfu 2 yaani hii alfu mbili hata kondom yaa maana hupati kama unaamua kulala nae na kutumia kinga , kinga zenyewe haziaminiki ya nini kufanya vile wakati najua wako zaidi yake ? na nikwambie siri wanawake wa mbeya wengi ni wanawake asili ya kiafrika yaani wamejazia ndio hapo sasa mate yanakutoka udenda njee , vishawishi na mambo mengine ya usheee .

Kwahiyo ndio hivyo , kesho yake nilitoka katika hoteli hii nikaenda katika hoteli ingine nikawe huru zaidi kwakuwa nilipenda kupiga picha mji ule wakati wa usiku niwatumie baadhi ya rafiki zangu wengine wanaopenda kujua zaidi kuhusu mji wa mbeya na mambo yake , ndio hivyo niliwakimbia hawa wadada mwaaah .

Siku ya pili ni kwenda kuandika report kuhusu ile kazi ya jana na kufanya majaribio kuhusu mashine zingine , kuwauliza maswali kadhaa kama wanamatatizo yoyote yale na kadhalika , kwahiyo hawakuwa na matatizo yoyote kwahiyo niliwaaga kutoka pale nikaanza safari ya kwenda tukuyu sikuwahi kufika tukuyu nilipenda kufika tu kwa kuwa kuna baadhi ya rafiki zangu wanatokea mkoa huu .

Nilifika pale muda wa saa 9 hivi jioni , nikatafuta sehemu ya kupumzika nikapata nikaenda kuhifadhi vitu vyangu , nikabeba kamera yangu , na kitabu changu kidogo kuanza kwenda mitaani , nilibahatika kuona internet café moja jirani pale , nikaingia ndani mule kufanya shuguli zangu .

Basi nilifika katika internet café hii niliwaambia watu kwamba niko mkoani mbeya sehemu inaitwa tukuyu , kuna baadhi ya watu ni wenyeji wa mkoa wa mbeya tulikuwa tunachat pamoja wengine wanatokea tukuyu na kyela , wakanielekeza makwao niwatembelee na wengine walihitaji salamu kutoka kwao .

Ndio hivyo nilipata marafiki wapya wa mkoani mbeya kw anjia ya mtandao , basi pale nilipokuwa jirani kidogo kama kilometa 10 hivi ndio sehemu ya kwanza nilitakiwa kwenda , nilifanikiwa kwenda mpaka kwa hiyo nyumba niliyoelekezwa na rafiki wa internet niliongea nao na kuwapa namba za simu za huyo ndugu yao aliye majuu , kwingine ni kyela lakini kyela mpaka kesho yake safari yangu ya mwisho .

Muda wa saa 3 hivi usiku nilitoka zangu kule mtaani nikarudi zangu katika nyumba niliyofikia , nilienda kuweka vitu vyangu na nikabadilisha mavazi kama ya kijana mtanashati , mwenye aibu sana , niliyekuwa mpweke nahitaji huduma Fulani ??? huduma ya ……?? Nikakaa pale katika bar , nikaagiza nyama choma nikawa nakula na glasi ya juisi .

Dada mmoja hivi ametokea zake huko sijui wapi akaja pale , akakaa mbele yangu nikamkaribisha vizuri sana kwa roho moja tukaanza kuongea , huyu msichana ni mrembo na amejazia kuanzia kigua , miguu na kadhalika hakika huyu ni masha alah kama nilivyokuambia wasichana wengi wa mkoa wa mbeya wamejazia au sio ?

Mrembo wa watu tukaongea kwa masaa 2 hivi mpaka saa 5 usiku , akaniomba namba ya simu nikampa , pia aliniuliza wapi ninapolala usiku huo , kama niko na mke au mtu maalumu usiku huo , nilimjibu sina niko mwenyewe tu na ninapenda kuwa mwenyewe hivyo hivyo inavutia zaidi au sio ?

Dada wa watu aliondoka , nami niliondoka zangu kurudi katika chumba kwa ajili ya mapumziko ya siku ile , basi nilipofika kule kwa hoteli muda kidogo yule dada aliniandikia sms inasema ‘ DEAR , UKO WAPI NIJE ? NINASIKIA BARIDI SANA NAHITAJI JOTO LAKO “ mhh nikakumbuka ni mambo yale yale nilivyokimbia kule mbeya mjini .

Nami nilimjibu “ JAMANI DEAR MBONA NA MIMI NASIKIA BARIDI NIMEJIFUNGIA CHUMBANI FUNGUO SIJUI IKO WAPI USIJE BWANA “ huyu dada akasoma msg yangu nilipokea jibu lake “ WE XXXNGE SANA , KWANINI ULINITONGOZA ? tukaendelea kubishana katika simu “ AHH NIMEKUTONGOZA ? SI BORA NIKATONGOZA NGOMBE AU MBUZI ? “

DADA : YAANI UNANIJIBU HIVYO ?
YONA : NDIO , BORA NITONGOZE NGOMBE

Basi nilizima ile simu yangu ili niwe huru zaidi nilale , kweli nikalala zangu mpaka usiku saa 10 hivi , nikaamka , nikaenda kwa yule mlinzi wa pale kumwambia anifungulie geti nataka kutoka nje akakataa akasema mpaka nimwambie receptionist wa pale naye alikuwa amelala , basi nilijaribu kumgongea hakuamka .

Uvumilivu ulinishinda , nilienda katika begi langu nikachukuwa vifaa nikatengua kitacha cha mlango wake mpaka ndani kwake nilimkuta yuko juu ya msichana Fulani katika fani ahaha , nilitaka kucheka lakini siku cheka , nilimfuata moja kwa moja mpaka pale nikamfunua shuka lile nikamshuka kitandani na kumpiga teke kidogo akajigonga katika kabati la nguo mule chumbani .

Nikimwomba sasa anifungulie mlango nitoke ndani ya ile hoteli kuna sehemu nataka kwenda , alitaka kuvaa nguo nikazichukuwa nguo pamoja na za yule msichana wote nikazitupa nje ya mlango ili anipe funguo nikafungue mwenyewe , alibisha nilivyomwomba basi nikamfuata tena kumtisha .

Ndio alisalimu amri akanipa funguo zile mimi huyo na begi langu nikatoka nje , nilikuta taxi pale karibu na hoteli lilinikimbiza mpaka kituo cha gari kupata basi la kuelekea kyela nikakata tiketi zangu pale na kupakiza vitu vyangu katika gari lile .

Kyela nilifika salama sana , nikafanya na kutekeleza yaliyonipeleka kule mwisho siku hiyo niliyo usiku nilirudi mbeya mjini ili nijiandae kwa safari ya kurudi zangu mjini dare s salaam kama kawaida , nilifika mbeya mjini katika saa 5 hivi za usiku moja kwa moja nilielekea katika nyumba ya wageni kwenda kupumzika .

Kesho yake ya asbuhi ilikuwa ni saa 11 hivi niliamka mapema nikajiandaa kwenda standi ya basi nikapata basin a safari ya kuja dare s salaam ilianza na kunoga kama kawaid nilifika jiji la mzizima nikiwa salama salmin na mwenye afya tele .

Nilifika muda wa saa 10 hivi , nikaja zangu hapa katika office kuleta report za huko kisha nikakimbilia katika mtando usiku huo huo kwa ajili ya kutuma hizi picha kwa watu Fulani marafiki zangu .

Na huo ndio ukawa mwisho wa safari yangu maridadi mkoani mbeya nilienjoy vya kutosha , karibuni nitaenda mkoani Mtwara , Lindi , Dodoma , Morogoro , Singida na Arusha kwa ajili ya kazi hizi hizi tuone itakuaje

Sikiliza tu

1414170002957.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom