Leo nimepiga mwanamke

Msamehe muendelee kuwalea Wajomba zangu, hizo ni changamoto za shetani tu ila pia you must play your part as a man.
 
Nafikiri haujasoma vizuri post mkuu...amekuja saa 5 bila sababu ya msingi..anaulizwa analeta nyodo...jamaa kaenda kulala akamfuata na kumletea madharau plus matusi....mimi ningeua kabisa.
 
Usiseme anastahili kipondo... jiulize kwann anachepuka wakati hakua Na tabia hiyoo?? Inaonekana ameanza mda si mrefu. Labda mwanaume ndo tatizo.
there must be a very big reason behind
Hivi watu wa aina yenu wapo kweli..?!..huwa..napata taabu sana eti umuulize kwanini anachepuka_how..?...akikuambia haunifanyivizuri utafanyeje...?...wanaume wa aina yenu ndio mnasababisha hawa watu watudharau.
 
....hahahahahaha..huo sio upole,ni ufala!
...alitakiwa ajieleze kabla ya kumuuliza..
...asingeendeleza ngebe we ungemfulia hadi ch.upi yake alovaa huko alikotoka,blalfuu!
 
Kupiga hakusaidii mkuu. Kumbuka pia siku hizi kuna DAWATI LA JINSIA kila kituo cha Polisi. Unaweza kulishughulikia jambo hili kwa namna nyingine pia kama kumwacha moja kwa moja. Kumpiga utaishia gerezani na yeye ataendelea kufurahia maisha yake.
 
Kama mwanamke hakuheshimu kiasi hicho I think ni vizuri ukaanza kwa kujiangalia kwanza, umekosea wapi? Umemlea vipi hadi mmefika hapo. Kama ni tabia yake tu kawaida then aliyekosea kwanza kabisa ni wewe, ulioaje mwanamke usiyemjua vizuri tabia? hapo ni talaka tu hamna kingine, hakuna kitu sipendi kama kupigana tena kibaya zaidi mwanamke.

Najua umekuja angalau tukupe moyo kua ulichokifanya ni sahihi lakini tatizo la ugomvi unaweza mgusa mtu kidogo tu akafariki na wewe maisha yako ndo yakaishia hapo, kila kitu ulichofanya kukufikisha hapo ulipo kinakua hakina maana. Usinyanyue mkono kumpiga mtu, tafuta njia nyingine za kumnyoosha.
 
Wanawake uoga wao upo kwenye kupigwa siku moja moja unamtia adabu hata kwa kosa dogo...usingoje hadi afanye kosa kubwa kama hilo ndio ufanye hvyo
TAHADHARI: USIMPIGE KICHWANI ni hayo tu
 
Salute
 
Sasa mwanaume unaachaje kumpiga mkeo?

Haipendezi inapita mwaka mzima hujamweka mkeo hata kangeu bana.
 
Hakuna cha uchagga wala nini...jamaa ni dhaifu tu...how come mke akujie saa 5 usiku.
Huyu mleta uzi amekuja kutuonyesha jinsi alivyo yogoyogo tu.
Mwanaume hawezi kuja na maneno ya kidhaifu namna hii aiseeee
 
akizingua muongeze nakoz nyingine kwanza alikuwa wapi mpaka 5 usiku....
kwanii akupe majibu mabaya mpaka mbele za watu tena unahuruma ingetakiwa siku anakujibu kunya mbele zaa watu unamnyoosha papo hapo....

by the way umeyataka mwenyewe mwanamke anakutukanaje mbele za watoto wako na wageni ni utovu wa nidhamu .............





mkuu hapo ukitaka suluhu mkabe umpe dushe lamaana kisha mtafutie zawadi kwisha........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…