Leo nimepata jibu kwanini Waethiopia wanakimbia nchi yao

Ktk mambo kama haya ndipo hua nasema waTanzania wamezoe kuiponda nchi yao na kusifia vya nje ilihali ukipata mwanya wa kutembea nchi kadhaa duniani hasa hizi hizi za Africa ukijitambulisha kua unatokea Tanzania wanafurahi na kuona wewe unatokea Kaanani.hapa kwetu ni kweli kuna mapungufu kibinadamu na kimaisha kwa ujumla hutakosa changamoto lakini bado tuna nafuu kuliko mataifa mengi sana,cha msingi kwetu labda Serikali ingetilia mkazo wa kuwekeza kwenye kilimo tungetoka,lakini hizi nyimbo za kila siku za wasomi kusema wanatoka vyuoni na hakuna ajira,hii haitabadilika duniani kote,ni ngumu kuikuta Serikali inatoa ajira mamilion ktk kila mwaka wanaomaliza vijana masomo vyuoni.ushauli wangu kwa vijana tujikite kua na shughuli binafsi hasa kilimo bila kujali usafi wa mwili,elimu yako wala uwezo kifedha.nguvu za mtu na akili yake inaweza kuzaa matokeo ya kiuchumi maana hata Serikali ikiona umetandaza shamba la mahindi hapo yaliyopendeza,mpunga,maharage,heka za kutosha.Serikali kupitia idara zake ktk halimashauli wanaweza kukupeni mkono wa msaada.tatizo sisi waTanzania tumekalia lawama tu bila kutenda kwanza kwa nguvu zetu na kuonyesha uwezo wa kufikili ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Nchi za magharibi zlifuata mtindo huu zamani. Ni mapinduzi ya Ufaransa ndiyo yaliamsha watu. Viongozi walianza kuiangalia social benefits kama kishawishi kwa wapiga kura.

Kila kiongozi alikuja na manifesto ya elimu, afya, makazi, ajira na pesa za kujikimu kwa wasio na kazi.

Raia wanapopata mahitaji muhimu hawana muda wa kuilalamikia serikali. Mipango makubwa ya maendeleo inapata nafasi.
Yaap French revolution ilifanya mabadiliko makubwa sana kwa wanajamii wa nchi za ulaya ndo maana watu wake wanathaminiwa na kujaliwa na viongozi wao ,wakikumbuka walichofanyiwa King Louis XIV na mke wake Marie Antoinnete wanaufyata hadi sasa
 
Yaap French revolution ilifanya mabadiliko makubwa sana kwa wanajamii wa nchi za ulaya ndo maana watu wake wanathaminiwa na kujaliwa na viongozi wao ,wakikumbuka walichofanyiwa King Louis XIV na mke wake Marie Antoinnete wanaufyata hadi sasa
Kwa Africa sina uhakika na South Africa lakini Botswana wa ajali raia. Wazee wanapata social security funds na serikali ins tumia pesa nyingi katika elimu ya vijana
 
Kwa Africa sina uhakika na South Africa lakini Botswana wa ajali raia. Wazee wanapata social security funds na serikali ins tumia pesa nyingi katika elimu ya vijana
Yaap Botswana wako vizuri kwanza population yao ni ndogo almost 20 million people na naskia ndo nchi pekee Africa ambayo haina madeni ya kipuuzi puuzi
 
Yaap Botswana wako vizuri kwanza population yao ni ndogo almost 20 million people na naskia ndo nchi pekee Africa ambayo haina madeni ya kipuuzi puuzi
Nilisoma nao mkuu baada ya shule tu wana hubeba mabegi yao kurudi home tena wanakuwa na job interviews kabisa wakati sisi tunafikiria kuzamia
 
Hao jamaa hawapa tofauti sana na Elitrea ambao Ndiyo vinara wa ukiukwaji wa uhuru wa vyombo vya Habari Barani Africa
 
Tz mbona sana ipo hii watu wana leaving certificate ila wanaongoza wenye diploma, degree mambo ya ajabu sana
 
Sasa bwashehe ndo kazidi, miradi hewa na viwanda hewa anavyozindua hata havionekani. Wananchi wanakula mara mbili kwa siku.
Kuna mfanyakazi mwenzangu(ameondolewa majuzi kwa kutokuwa na cheti cha form 4) miezi kama minne nyuma huku tunaye kazini aliniambia kuwa siku hizi hakuna mfanyakazi anayekula milo 3 kwa siku.Hii kauli niliitafakari maradufu sana ingawa mimi familia yangu hula mara 3 kwa siku, yawezekana ni kwasababu nina familia ndogo.
 
Kwa ujumla nchi nyingi Za Bara la Africa zinahitajika kutawaliwa upya na Wakoloni Kama alivyo pata kunena Trump !
Hakika Kama mkoloni angeendelea kutawala nchi Za Africa Nina amini tungekuwa tumepata maendeleo ya kuridhisha Kama ilivyo SA! Enzi Za ukoloni Kwa mfano wajawazito walikuwa wakiwajali sana tofauti na hali ilivyokuwa baada ya Uhuru!
 
Ipo siku mtu atajichoma pale getini Ikulu, kama yule wa nchi gani? Nimeihau hali ni ngumu kwa vijana waliomaliza vyuo
 
ndo bashite hana hata cheti cha form 4 lakini kutwa kucha kuita wasomi walio chini yake wajinga
 
Ndo nchi zetu za kiafrika watu waishi kama wako jehanam reli za standard zijengwe anyway waafrika tuna nyota za punda maana hata baada ya mkoloni kuondoka ili tuwe na maisha bora bado hali haijabadilika bora tungetawaliwa pengine kungekua na maendeleo mpaka sasa yakuridhisha
 
Mkuu Ethiopia wanaishi maishi mazuri na standard life yao ni nzuri..

Ethiopia ni nchi yenye ubaguzi ,kuna clan 2 kubwa ambao ni Amharic na omoro ,hawa mnaowaona wanakimbia nchi yao na kupita Tanzania ili waende south ni wa Oromo hawa Oromo wamebaguliwa toka enzi na enzi na serikali yao na kuwa undermined

Jamii hii inataka kujitenga na iwe taifa huru lakini serikali ya Addis Ababa haitaki na mwaka Jana au juzi mamia ya wa Oromo waliuawa na mamia wamefungwa jela ,


Kuna mwana riadha feysa alishinda medali ya shaba olimpic alionyesha ishara ya namna jamii yake inavyoteswa na serikali na baada ya hapo aliomba hifanyi ya ukimbizi USA kuhofia maisha yake


Nenda Ethiopia Amharic wanaishi maisha bora na miji mingi maisha yao yapo fresh ila Oromos ndio wanaishi vby na hawapewi Uhuru wao wengi wamefungwa sababu ya kisiasa ,wamekuwa walemavu sababu ya kisiasa na kuuawa sababu ya kisiasa ,nadhani kwa kifupi ushapata kapicha


 
Watanzania ni aibu kubwa kujilinganisha na Ethiopia kwanza mnatakiwa mjisikie aibu hizi resources zilizopo Tanzania huko Ethiopia ni ndoto Tanzania kuna ardhi yenye rutba, maziwa, mito mikubwa kwa ajili ya kilimo na umwagiliaji lakini ni uvivu tu umewatawala.

Hata kuzamia nchi kama waethiopia mmeshindwa hiyo inaonesha kwamba nyie ni wavivu na waoga kupita maelezo hamna uthubutu zaidi ya maneno mengi na kufanya vitu visivyo na msingi badala ya kufanya kazi.

Subirini ajira serikalini.
 
Waethipia kwao serikali ikiamua kuzima data wanazima siku hio hio. Kuna mtandao mmoja tu wa simu.
Dadeki. Ndio maana mliona kuna siku magufuli alitamani kinoma awe rais wa ethiopia na angewakomesha sanaaa
 
Tupo tofauti Mkuu kama huyo jamaa analipwa USD 50 kwa Tanzania hicho kitu hakipo, hayo ni mazingira yao tuchape KAZI hizo roho za kulaumu kila kitu hazitatufikisha popote, mishahara mizuli, na maisha mazuli yanakuja baada ya KAZI saivi serikali inapambana na rushwa , na kufufua viwanda kwa uzalishaji Wa ajira tuipe nafasi, nasisi wananchi tuchape kasi kwa bidii usisubil serikali ukutengenezee maisha raha hasha serikali hutengeneza njia ya kupitia tu,
 
Back
Top Bottom