kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
kuna wengine wanachura mkuu ukimbahatisha ni watam balaaaaWakushi!
Ila hawana chura.
kuna wengine wanachura mkuu ukimbahatisha ni watam balaaaaWakushi!
Ila hawana chura.
..Uhuru wa kuongea hakuna ukileta kelele kukuua hawaoni hatari.
umeongea na asiejua kuitumia degree yake vizuriKatika pitapita zangu huko mtandaoni nikajiunga na group la Waethiopia, katika kuchat na mmoja ndipo akaniambia yeye kamaliza degree, ameajiriwa serikalini kama messenger.
Mshahara wake ni kama USD 50 kwa mwezi.
asante...!Nchi za magharibi zlifuata mtindo huu zamani. Ni mapinduzi ya Ufaransa ndiyo yaliamsha watu. Viongozi walianza kuiangalia social benefits kama kishawishi kwa wapiga kura.
Kila kiongozi alikuja na manifesto ya elimu, afya, makazi, ajira na pesa za kujikimu kwa wasio na kazi.
Raia wanapopata mahitaji muhimu hawana muda wa kuilalamikia serikali. Mipango makubwa ya maendeleo inapata nafasi.
mkuu population ya botswana haizidi hata milioni 3.Yaap Botswana wako vizuri kwanza population yao ni ndogo almost 20 million people na naskia ndo nchi pekee Africa ambayo haina madeni ya kipuuzi puuzi
Kweli aiseeElmagnifico ulikua hujajua tu all these years na documentary zote zilizojaa mitandaoni? Hao jamaa wanaishi kama wako in hell. Kodi ni nyingi si mchezo, kodi mpaka kwenye biashara kama za genge, ambavyo hapa kwetu ni tofauti.
samahani! umesoma hadi kiwango gani? Ulishawahi kusoma pamoja na Waethiopia? usiwadharau watu kama huna taarifa za kina.umeongea na mpumbavu mmoja asiejua kuitumia degree yake vizuri
Akili yao ni ndogo sana wanachokimbilia ughaibuni wangeweza kukifanya kwao
Hilo nalo neno ngoja niondoe screenshotOndoa jina la huyo uliyewasiliana nae.. haujui kufunika jina na picha!?
Usichoke kuwahabarisha wasiojua lakini wanadhani wanajua maana ni hatari sana kuliko wasiojua na wanajua kuwa hawajui..samahani! umesoma hadi kiwango gani? Ulishawahi kusoma pamoja na Waethiopia? usiwadharau watu kama huna taarifa za kina.
Elimu ya Ethiopia ni nzuri sana kuliko ya kwetu na Wakushi wana IQ kubwa sana inawezekana kuliko Wabantu wetu wa huku Bongo. Mimi nimesoma nao hawa majamaa. wapo vizuri sana. Tatizo la Ethiopia ni kimfumo wa uchumi na utawala. Serikali ndo inayomiliki uchumi kuliko raia. Kule serikali ndo yenye hela, imewekeza sana katika Jeshi, uraiani hali ni mbaya sana. Hakuna ajira, fedha hazipo katika mzunguko. Pia kumbuka Ethiopia ina idadi kubwa sana ya watu. Ni ya pili katika Afrika kuwa na idadi ,kubwa ya watu baada ya Nigeria, ikifuatiwa na Misri, Congo DRC then tunafuata sisi Tanzania. Ethiopia upande wa Magharibi na kusini mwa nchi ni jangwa. Ukijumlisha haya matatizo yote ya uwingi wa watu, ukame/jangwa, uhaba wa fedha katika mzunguko, ukosefu wa ajira, ukandamizaji wa kidemokrasia n.k hali inakuwa mbaya sana kwa raia. Ndo maana pamoja uchumi unaosifika kwa ukuaji katika bara la Afrika, raia wake kila siku wanafia njia wakiwa katika harakati za kuzamia nchi zingine.
Kwa taarifa tunazosikia ni kwamba uchumi wa Ethiopia ni kati ya uchumi ambao unakuwa kwa kasi.
Wanajenga miundinbinu safi, wamezindua train safi ya umeme na mambo kadha wa kadha.
Ila siku zote nilikuwa najiuliza, ni kwanini kila mara waethiopia wanahatarisha maisha yao, wanakubari kubebwa kwenye makontena kupita Tanzania kwenda Afrika ya Kusini na wengine wanafia njiani.
Siyo hao tu kuna wa Ethiopia walichinjwa na ISIS huko Libya wakiwa wanajaribu kufikia bahari ya Mediteranean wapate kuvuka kuingia Italy.
Katika pitapita zangu huko mtandaoni nikajiunga na group la Waethiopia, katika kuchat na mmoja ndipo akaniambia yeye kamaliza degree, ameajiriwa serikalini kama messenger.
Mshahara wake ni kama USD 50 kwa mwezi.
Nikashangaa maana kuna muda nimemtajia USD 500, akasema huo ni mshara wake wa miezi kumi.
Akaanza kunieleza kuwa serikali inajenga miundombinu, ikitaka aminisha dunia kuwa uchumi unakuwa lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu sana sana.
Anadai kupata kazi ni vigumu labda uwe una pesa ya kuhonga au unamjua mtu mkubwa serikalini.
Akaniambia yeye ana degree ila ni messenger ila boss wake pale kazini ana diploma.
Akaniambia ya kwamba watu wengi hawana chakula hawajui watakula nini, ila watawala wanajilipa mishara mikubwa na wanaishi maisha ya kifahari.
Uhuru wa kuongea hakuna ukileta kelele kukuua hawaoni hatari.
Anadai kukiwa na mikutano ya kimataifa, omba omba na watu wanaonyesha umasikini wanaondolewa wote addis ababa mpaka mkutano utakapoisha huwezi kuona masikini na omba omba.
Nimekaa nikatafakari nikaona maendeleo na maisha bura siyo train wala fly overs tu, inabidi vyote viende sambamba na kuboresha kipato cha mwananchi wa kawaida.
Kwahiyo hoja hapa ni ipi mkuu?Ni nchi gani ya Kiafrika au third World yoyote ile ambayo huwezi sikia stori kama hizo?
Si ndio Wahabeshi hao au?kuna wengine wanachura mkuu ukimbahatisha ni watam balaaaa