Huyu kweli hakuja mjini kushangaa maghorofa kama wakina siendio mkuu na wala hata haioni hatari maana ana mipira ya moto zaidi ya huo,na hiyo ina miaka si chini ya mitano nyuma huko,huyu dada ni wa tabora...mjini alikuja tu baadae kwa ajili ya biashara...alishawahi kuwa mapokezi pale azikiwe CRDB...na alianzia ESCUDO tu,kipindi hicho anaishi mwenge mitaa ya hostel za chuo kikuu...saiv ni mtu mwingine kimaisha..
halafu unakuta kuna mtu haoni hata aibu gari kama hiyo imepark sehemu naye anaenda kuegesha pembeni ki gari chake PASSO. watu wameumbwa bila mishipa ya aibu kabisa.

Hao muda mwingine wanalala mguu juu usiku mzima, tena muda mwingine na vichwa tofauti tofauti. UsipimeYaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINIView attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
Kama una mmbunyye ni rahisi sana kuwa na gari kama hiyo
Hilo chimbo nimeshalijua kumbe ndio weweYaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINIView attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
Nilikuwa eneo la tukio piaAcha mambo zako wewe..! Mimi ni mtu nisiyejulikana sasa wewe umenijuaje??
Sawa mkuuHaya bwana...!