Leo nimefanikiwa kufika Tarime Mara

Leo nimefanikiwa kufika Tarime Mara

Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania

Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza

Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute

Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
Karibu sana kwetu ndo tunavyoongea kigumugumu
 
Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania

Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza

Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute

Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
Umeenda kuangalia mazingira ya wapi uweke kaz yako uliyotarajia kurithishwa na babu?
 
ni uwoga wenu tu
ila caution usikubali mme wa mtu sawa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
“Happiness is a state of activity.”
 
Viita ni viita Mura..!!!

Muereze na Ghati...!!!
 
Taja jinsia yako tujue supu siyo ishu
Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania

Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza

Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute

Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
 
Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania

Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza

Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute

Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
Huko unampelekea nani K? Hivi ile 7,800 ilikutosha?
 
Usisahau kupitia hapa KIBUMAYE SDA MISSION, URE NDISI KITOOOGO, NITAKUPENDA SANA UKIWA WA JINSIA YETU PENDWA
 
Back
Top Bottom