Leo nimefanikiwa kufika Tarime Mara

Leo nimefanikiwa kufika Tarime Mara

Karibu mpemdwa ukiwa na time kesho nicheki twende mpaka migoli kidogo usiishie tu hapo isebania na tarime. Pia waweza cross kidogo kuelekea utegi pia shirati wenyewe tunaita "sirati"
 
Dah una bahati mbaya sana nimeondoka Nyamongo hapo Jioni nimesafiri
But hopefully uta-enjoy sana ungeweza ungeenda hadi mto Mara,
usijali supu zipo kwa wingi mno, muulize mtu akuoneshe MGAHAWA WA MAMA FRANK,
na kwa nyama choma na kichure
muulize mtu yeyote akuoneshe
kwa TOM NYAMA CHOMA
utaona soko la dhahabu,
utaona ukarimu wa wakurya
nambie unachotaka kuona coz naamini utakuwa Balozi mzuri sana kuhusu mkoa wa Mara!
 
Karibu mpemdwa ukiwa na time kesho nicheki twende mpaka migoli kidogo usiishie tu hapo isebania na tarime. Pia waweza cross kidogo kuelekea utegi pia shirati wenyewe tunaita "sirati"
Hahahaha
 
Dah una bahati mbaya sana nimeondoka Nyamongo hapo Jioni nimesafiri
But hopefully uta-enjoy sana ungeweza ungeenda hadi mto Mara,
usijali supu zipo kwa wingi mno, muulize mtu akuoneshe MGAHAWA WA MAMA FRANK,
na kwa nyama choma na kichure
muulize mtu yeyote akuoneshe
kwa TOM NYAMA CHOMA
utaona soko la dhahabu,
utaona ukarimu wa wakurya
nambie unachotaka kuona coz naamini utakuwa Balozi mzuri sana kuhusu mkoa wa Mara!
Asante kwa ukarimu wako
 

Attachments

  • DSC00095.JPG
    DSC00095.JPG
    28.3 KB · Views: 24
  • 2019-06-27 (2).jpg
    2019-06-27 (2).jpg
    14.2 KB · Views: 22
  • 2019-08-12 (1).jpg
    2019-08-12 (1).jpg
    15.7 KB · Views: 23
  • 2019-06-27 (1).jpg
    2019-06-27 (1).jpg
    17.2 KB · Views: 22
  • 2019-08-12.jpg
    2019-08-12.jpg
    21.2 KB · Views: 21
  • DSC00084.JPG
    DSC00084.JPG
    10.3 KB · Views: 25
  • 2019-06-27.jpg
    2019-06-27.jpg
    16.7 KB · Views: 21
  • 2017-09-25.jpg
    2017-09-25.jpg
    9.8 KB · Views: 23
  • DSC00047.JPG
    DSC00047.JPG
    9.5 KB · Views: 22
  • DSC00057.JPG
    DSC00057.JPG
    11.2 KB · Views: 23
  • DSC00052.JPG
    DSC00052.JPG
    10.4 KB · Views: 23
Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania

Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza

Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute

Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
Ukirudi Mwanza, nijulishe
 
Back
Top Bottom