Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,511
- 6,892
Sasa si ndio vizuri musaghaneWewe Marwa sio Mimi,halafu huku Marwa kila mtaa
Sasa si ndio vizuri musaghaneWewe Marwa sio Mimi,halafu huku Marwa kila mtaa
Halina maana mbaya kivile kwa zama hiziHalafu Wewe hilo neno ulilonambia kwa kilugha nimejua maana yake
Hahaha...! Njoo hapa chini Rosonti upigwe mande.Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania
Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza
Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute
Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
Jitahidi ufike mgodini basi...Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania
Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza
Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute
Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
Nilijua comment ya aina hii lazima nitakutana nayoWeka basi hata picha yako ukiwa umetupia lile sweta...
Halafu nina hamu ya kutembelea nyanda za juu kusini
Ukiwa tayari niambie, mpango wa safari nzimaHalafu nina hamu ya kutembelea nyanda za juu kusini
Nilijua comment ya aina hii lazima nitakutana nayo
Nyamongo ndio nyumbani nachati from Kwinogo karibu kwetu. Ila nakuhurumia utakavyobanana kwenye probox.
Zipo wapi mkuu,Tarime mjini,Sirari au Nyamongo