cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,311
- 7,494
Kwa mara ya kwanza nimekanyaga ardhi ya Mara,nimefika Tarime nikaenda mpaka boda pale Sirari,nikaingia upande wa pili cha kushangaza upande wa Kenya una majengo mazuri na mengi kuliko huku Tanzania
Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza
Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute
Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.
Muda wa jioni nimerudi Tarime mjini,ila sijaona mapanga ila watu wa huku wanaongea kama wanagombeza
Lile bango sasa umeingia Mara sijafanikiwa kuliona,wanaolijua lilipo mje miambie ili kesho kutwa wakati narudi nije nilitafute
Kesho naenda Nyamongo ,waliopo nyamongo njoo pm tukutane mninunulie supu.