holy holm JF-Expert Member May 6, 2017 4,671 8,672 Jun 3, 2017 #1 Leo nikiwa nimechoka zangu nikajiamulia kupiga simu police. Mimi. Hellow Afande niko hapa naona watu kibao wamekufa na wamefukiwa mchanga.. Afande. Tuambie mkuu mahali ulipo tuje sasa hivi.. Mimi. Nipo hapa makaburini.....
Leo nikiwa nimechoka zangu nikajiamulia kupiga simu police. Mimi. Hellow Afande niko hapa naona watu kibao wamekufa na wamefukiwa mchanga.. Afande. Tuambie mkuu mahali ulipo tuje sasa hivi.. Mimi. Nipo hapa makaburini.....
holy holm JF-Expert Member May 6, 2017 4,671 8,672 Jun 3, 2017 Thread starter #3 kubwa jinga jr said: sasa ikawaje? Click to expand... cjui wanakuja??
mwayungi JF-Expert Member May 9, 2017 1,814 3,078 Jun 4, 2017 #5 Wamezuia viroba lakini bado vinapatikana
holy holm JF-Expert Member May 6, 2017 4,671 8,672 Jun 4, 2017 Thread starter #6 mwayungi said: Wamezuia viroba lakini bado vinapatikana Click to expand...
20PROFF JF-Expert Member Nov 5, 2013 7,970 6,761 Jun 5, 2017 #7 holy holm said: cjui wanakuja?? Click to expand... hahah wasubiri hapo hadi Usiku ila kama uogop unaweza kuta wakaamka hao na kugundua wapo hai hao.
holy holm said: cjui wanakuja?? Click to expand... hahah wasubiri hapo hadi Usiku ila kama uogop unaweza kuta wakaamka hao na kugundua wapo hai hao.
holy holm JF-Expert Member May 6, 2017 4,671 8,672 Jun 5, 2017 Thread starter #8 merengo90 said: hahah wasubiri hapo hadi Usiku ila kama uogop unaweza kuta wakaamka hao na kugundua wapo hai hao. Click to expand...
merengo90 said: hahah wasubiri hapo hadi Usiku ila kama uogop unaweza kuta wakaamka hao na kugundua wapo hai hao. Click to expand...
holy holm JF-Expert Member May 6, 2017 4,671 8,672 Jun 6, 2017 Thread starter #10 sergio 5 said: Weka picha Click to expand... ya nn?