Leo ni siku yangu ya kuzaliwa

Leo ni siku yangu ya kuzaliwa

pia wewe rafiki yangu sisi si watani bwana ku,be tumezaliwa MWEZI MMOJA NA TAREHE MOJA

usije ukafanya point of wikinesi ENDELEA KUTAFUTA MCHUMBA

SAWA MIMI NAENDELEA SIKATI TAMAA japo kuwa wakati mwingine inakatisha tamaa kwa kweli .Nikianza kufikiria huwa nachoka zaidi maana nahitaji kumpata wa aina hii anajitokeza n wa aina hii na si unajua tena upweke ulivyo mbaya lakini najua yote haya yana mwisho.NAKUTAKIA KILA LA HERI KATIKA SHEREHE UNAYOSHEREKEA SIKU YA LEO.
 
hongera sana masai dada wapi yule nguin wako Kiranga aje huko akubusu japo.

hahahah nisaidie kumita ukimuona huko maana hapa japo english kiss maana najua ndo mtaalamu wa hiyo kitu kuliko FRENCH KISS
 
Last edited by a moderator:
SAWA MIMI NAENDELEA SIKATI TAMAA japo kuwa wakati mwingine inakatisha tamaa kwa kweli .Nikianza kufikiria huwa nachoka zaidi maana nahitaji kumpata wa aina hii anajitokeza n wa aina hii na si unajua tena upweke ulivyo mbaya lakini najua yote haya yana mwisho.NAKUTAKIA KILA LA HERI KATIKA SHEREHE UNAYOSHEREKEA SIKU YA LEO.

jamani umeongea huruma mpaka nimejisikia vibaya am sor kama nimekuudhi

KWA HIYO KICHUPA KIKO FULL(Joke)
 
Nina wasiwasi huyu atakuwa wa kiume!!Alafu walishaanzisha uzi wao wa watoto sijui umeishia wapi?!! masai dada keki wapi??

yaani nina mafua sijui ni kisudi la mungu ili nibaki ndani maana nilisha arrange malo
ocation kibao leo
 
Last edited by a moderator:
yaani nina mafua sijui ni kisudi la mungu ili nibaki ndani maana nilisha arrange malo
ocation kibao leo

Poleee mtoto,,kumbe!!Ndio maana utafiti akawa anasema tuifanye kesho,,sasa hapa ni kumuomba mkuu wa kaya atangaze poo kwa siku ya kesho
 
Last edited by a moderator:
NINA MSHUKURU MUNGU SANA KWA KUFIKA MIAKA KAZAA

ILA NINA MAFUA SANA MPAKA NAHIS HOMA

Kiranga niitie Mzizimkavu

nahitaji nipone haraka niombeeni
mambo yangu hayaendi maana mimi ndo stelingi yaani

Happy belated birthday Masai Dada
 
Back
Top Bottom