Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Happy birthday masai dada na pole na mafua!
Last edited by a moderator:
hahahahaha sayansi anzisha wewe zenye tija lol
Happy birthday masai dada na pole na mafua!
Muanzishieeeeee uziiiii
Waooooo hongeraa
Jifunze kumention kama hiviu, masai dada
Leo siyo siku yako ya kuzaliwa, leo unasherehekea tarehe yako ya kuzaliwa. Ulizaliwa "miaka kadhaa iliyopita". Na siku hiyo kama leo sidhani kama pia ilikuwa Jumapili.
Seherehe ya "siku" yako kuzaliwa inakuja kila wiki na "tarehe" na "mwezi" inayofanana na ulipozaliwa ndiyo inakuja kila mwaka kwa wengi, na kwa wengine wachache huwa ni mara moja kila miaka minne.
Happy Birth Date.
hahahahahaha masaidada ndo umeniingiza chaka eeeeeh thanks
nipe muhkasari uweje uweje
Una share na mwenye jamiii???????????????
happy birthday masai dada
utafiti kanamba niweke alafu nikakurupuka ile naweka okey
NIKAKUMBUKA LOOH
am sor maa kuna ice cream hapa siwez kula kwa sababu ya flue njoo
Sasa kila mtu siku yake yakuzaliwa ikifika akianzisha uzi si tutaishia kujaza server za JF bure.Wakuu hebu tuzionee huruma server za JF Kwa kuanzisha maada muhimu na zenye tija
Dina na mimi leo ni siku yangu ya kuzaliwa nilitaka kufungua uzi kuwafahamisha wana JF lakini kila niki SUBMIT maneno yote yanafutika na uzi hautokei humu .Basi naomba unifungulie uzi unao sema Happy Birtday SAYANSIKIMU maana nashangaa tangia asubuhi hakuna aliyenifungulia uzi wakati nimetoa taarifa.
Dina na mimi leo ni siku yangu ya kuzaliwa nilitaka kufungua uzi kuwafahamisha wana JF lakini kila niki SUBMIT maneno yote yanafutika na uzi hautokei humu .Basi naomba unifungulie uzi unao sema Happy Birtday SAYANSIKIMU maana nashangaa tangia asubuhi hakuna aliyenifungulia uzi wakati nimetoa taarifa.
Hizo message zako mbona zinajichanganya? SAYANSIKIMU wewe ni mwanaume au ni wakiume?Wanaume hawalii lii hivi bwana??Alafu wanaume wanasimamia maamuzi yao,ushasema je kila mtu akiweka bandiko lake la siku ya kuzaliwa si tutajaza server za JF,,then unaomba Dinazarde akufungulie uzi wa birthday!!
Dina na mimi leo ni siku yangu ya kuzaliwa nilitaka kufungua uzi kuwafahamisha wana JF lakini kila niki SUBMIT maneno yote yanafutika na uzi hautokei humu .Basi naomba unifungulie uzi unao sema Happy Birtday SAYANSIKIMU maana nashangaa tangia asubuhi hakuna aliyenifungulia uzi wakati nimetoa taarifa.
Thread zikiwa nyingi wengine ambao tumejiunga hivi karibuni huwa tunazuiwa kuanzisha mada au uzi kama leo nimezuiwa kabisa lakini zikiwa chache kwa siku tunaruhusiwa kuanzisha mada .Sasa wakipunguza punguza ku post mada kama hizi na sie tunapata nafasi ya kuanzisha mada.leo nimefungiwa kabisa.