sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
Hii birthday inabidi tuishehekee upya kesho maana imekuja late
Naunga mkono hoja,,bro utafiti upo mkuu?
Last edited by a moderator:
Hii birthday inabidi tuishehekee upya kesho maana imekuja late
Pole kwa mafua masai dada na hongera kwa kutimiza 16yrs
title:SAYANSIKIMU MBAHILI
mainbody;anataka watoto wa mujini lakini hela hatoi hii imejidhiirisha wazi leo hadi server ya jf anabana
Hizo message zako mbona zinajichanganya? SAYANSIKIMU wewe ni mwanaume au ni wakiume?Wanaume hawalii lii hivi bwana??Alafu wanaume wanasimamia maamuzi yao,ushasema je kila mtu akiweka bandiko lake la siku ya kuzaliwa si tutajaza server za JF,,then unaomba Dinazarde akufungulie uzi wa birthday!!
najua hunywi hata dompo
high heels uvai
njoo basi nikupikie samaki
Happy Birthday masai dada
hahahah tangoa asubuhi ujaanszishiwa looh nilisha kwambia
Hii birthday inabidi tuishehekee upya kesho maana imekuja late
Yaan hajuii kama anajaza comment naomba apunguzeee kuwekaa post zake humuu maana zinajaa mnooo
Hela hatoiii hahhhhhaaaaaa alikukopaa niniii
masai dada happy birthday to you.
nilikutana nae kwenye uzi mmoja miss chagga akimwambia habari za ela loooh ANATOAJE MAPOVU KAMA SERENGETI ILIYOTINGISHWA
Love u too shosti....happy birthday na pole sana kwa kuumwa mola atakujaalia utapona usijali
BASI YAISHE HAPPY BIRTHDAY masai dada .NB. Lakini leo na mimi nasherekea siku yangu ya kuzaliwa .Basi pasipo kinyongo nakutakia maisha marefu yenye amani na baraka tele .HAPPY BIRTHDAY masai dada
Happy born day masai dada wish u all the best in your life.