Leo ni mwisho kabisa nimechoka

Leo ni mwisho kabisa nimechoka

either ni kiburi na kujifanya kutosikia kwamaana ya kuingilia uhuru wake wa mawasiliano au kuna kitu kinaendelea ambacho si kizuri kati yao na ndio maana hataki kuisave hyo namba.......
cha msingi mueleze usivyopendezwa na hilo jambo na utoe msimamo wako kama mwanaume..na umuulize hyo no ni ya nani pia hata ww unaweza cheki hyo no imesajiliwa kwa jina gani pia

hUYO BWANA NAMFAHAMU NI MTUMISHI MWENZIE NA KWA KUWA NILISHAMKATAZA AKAJIDAI MJANJA AKAIVUTA ILI NIDHANI HAKUNA MAWASILIANO TENA KUMBE WANAENDELEA KUWASILIANA NA MIMI NILIWSTUKIA TU KUTOKANA MAMBO YA HUYU MWANAUME ILA MKE AKAKATAA KATUKATU HAWANA MAHUSIANI NA BASI NIKAMWAMBIA SITAKI UWASILIANE NAYE TENA NDO JANA NIMEIKUTA TENA HIYO NSMBA BILA YEYE KUJUA WAKIWA WAMETUMIANA MSG MOJA IKISHIA HAYA MWAYA
 
Kwa hiyo maisha kwako is all about pesa?? Hakuna nyanja zingine zinazokugusa??

swali zuri pesa inatafutwa na kuliwa na wanaume wenzio utaweza endelea tafuta pesa inatafutwa moyo ukiwa na amani ya kutosha na si viginevyo
 
This guy has genuine reason. Hivi ina maana gani kutafuta fedha harafu ukaletewa ukimwi na mkeo kitandani kwako. Kaka, tusibeze matatizo ya wenzetu. Nadhani unahitaji kuwa cheated na mkeo na ufaham kwamba mkeo anakucheat,hapo you will get your senses right...


Tafuta pesa wacha kuwaza ujinga, nchi maskini hii.
 
Hivi wanajamvi ukimkataza mkeo usiwasiliane na mtu ambaye una mashaka naye naye akaendelea tena namba yake hiyo hajaiandikia jina ina manisha namba hiyo haiko kwenye phonebook yake anamanisha nini? Na achukuliwe hatua gani na je nifanyeje ili niweze pata mawasiliano yao vizuri.
Acha kabisa kuchunguza mambo ambayo majibu yake hutakuwa na uwezo wa ku-handle... UKAISHIA KUMWACHIA MUNGU... Bora umwachie mapemaa
 
mbali. Naomba baada ya miezi mi3 uje tena hapa utuambie nini kinaendelea.[/QUOTE]umekumbuka wapi wewe
 
hUYO BWANA NAMFAHAMU NI MTUMISHI MWENZIE NA KWA KUWA NILISHAMKATAZA AKAJIDAI MJANJA AKAIVUTA ILI NIDHANI HAKUNA MAWASILIANO TENA KUMBE WANAENDELEA KUWASILIANA NA MIMI NILIWSTUKIA TU KUTOKANA MAMBO YA HUYU MWANAUME ILA MKE AKAKATAA KATUKATU HAWANA MAHUSIANI NA BASI NIKAMWAMBIA SITAKI UWASILIANE NAYE TENA NDO JANA NIMEIKUTA TENA HIYO NSMBA BILA YEYE KUJUA WAKIWA WAMETUMIANA MSG MOJA IKISHIA HAYA MWAYA

Hahahaa haaaa
Eti 'haya mwaya'

Mtumishi anawasiliana na mke wa mtu ili iwe nn!!?
 
Uzi huu unanifanya niwafahamu wenye wake/wame na wasio nao..

Mtu anachukulia simposimpo tu swala la wife.
 
Back
Top Bottom