Leo ni mwisho kabisa nimechoka

Leo ni mwisho kabisa nimechoka

Freedom of choice...mi naona huez mpangia mtu mzima mtu gan awasiliane nae!!utakua unajisumbua.
 
Achana nae isiwe shida kabisa

Mpwa Elli kama ni kimada ni rahisi sana kupiga chini hata kama moyo umegandia pale..
Ila kama ni mke aiseee ni shida.. Huwezi kusema kirahisi tu unamuacha mkeo kwa kuwa anawasiliana na mwanaume mwingine.. Maana huwezi kueleweka ati uje na uamuzi umemuacha mkeo kisa ana namba ya mwanaume kwenye simu..! Maana utapewa ushauri kufuata utaratibu wa abcd ambao ni kama urasimu.. Linapokuja suala hilo la wife kuna sacrifices ambazo zinageuka kuwa ni challenges ndani ya ndoa.. Na kama tayari mna familia ndo shida kabisa..
Jamaa itamsumbua sana hii..
 
Last edited by a moderator:
Sijakataa ila siwezi kupoteza muda na akili yangu kumcontrol binadamu mwenye akili zake.

Vigezo na masharti kuzingatiwa na Elli amenisaidia kujibu hapo juu.
100% nakubaliana na wewe..!
 
nakushauri ndugu fanya yako achana na huo ujinga wa kufatilia simu za mkeo mwanamke akiamua kitu huwezi kumzuia....we dili na mambo ya kutafuta kipato kuendeleza familia na hakikisha unatoa dozi ya kutosha kama kila kitu unampa basi kilichobaki ni kumpa dozi stahiki atatulia na namba ataisahau ila kama hilo namba ni ya jamaa na ana mahusiano nae basi ujue jamaa anatoa dozi stahiki mpaka namba mkeo hawezi sahau inawezekana hata yako haijui hadi acheki 4nebook....dozi ndio kila kitu pesaa baadae

Mkuu hiyo dozi hata akiitoa vp itasadia nini akiletewa mgeni (lugha ya Capt Komba au ngoma) nyumbani?
 
Dah mbaya sana atakuwa Msela anakusaidia. Na tena vijana wa siku hizi hawana tabia njema kabisaaa! waweza kuta anamuingilia njia ya haja kubwa.
 
Sio vizuri ku monitor simu ya mkeo/mumeo. Kama umeshapata mashaka na mawasiliano fanya uchunguzi kimya kimya ili kujua ukweli na ukishaujua ukweli ambao ni mbaya, ndipo uongee na mkeo/mumeo. Mimi huwa nafanya hivo kimya kimya bila kumuuliza kabla ya kuujua ukweli. Mara nyingine huwa nagundua kuwa nimekosea kwa kumuwazia vibaya, lkn kwa vile nakuwa sijamwambia inakuwa hakuna shida. Mpe uhuru wa kutumia simu yake mkeo/mumeo, hii itaonesha ni jinsi gani unavyojiamini na kumwamini.
 
Tatizo la vijana siku hizi tunapotafuta wachumba hatumshirikishi mungu.we fikiria mwanamke mnakutana facebook au kwenye gari eti tayari ni wachumba.mimi kila siku namuomba mungu anipe mwanamke atakaenipa raha duniani na kesho ahera na naamini atanipa.
 
Hivi hebu ngoja niulize hapa,Dunia hii tuliyonayo kuna mwanamke ambae anagongwa na mume wake tu bila kuchepuka!? Km Wapo labda vijijini! Hapa dar hata wa kwangu nilishaacha kuhangaika nae kwa kuamini anapigwa! Kuna mtu aliniambia haya maneno nikambishia,akaniambia anza kuwatongoza wale unaoamini wametulia utapata jibu. Biashara yangu ina wateja wengi wa kike,nimejaribu zaidi ya wanawake 13. Kwa siku 5 tu hakuna hata 1 mmoja aliyekataa! Jamani mambo yamebadilika sana,heri kuelekeza akili ktk kutafuta pesa kuliko kutafuta aibu ya kufumania.
 
Mpwa Elli kama ni kimada ni rahisi sana kupiga chini hata kama moyo umegandia pale..
Ila kama ni mke aiseee ni shida.. Huwezi kusema kirahisi tu unamuacha mkeo kwa kuwa anawasiliana na mwanaume mwingine.. Maana huwezi kueleweka ati uje na uamuzi umemuacha mkeo kisa ana namba ya mwanaume kwenye simu..! Maana utapewa ushauri kufuata utaratibu wa abcd ambao ni kama urasimu.. Linapokuja suala hilo la wife kuna sacrifices ambazo zinageuka kuwa ni challenges ndani ya ndoa.. Na kama tayari mna familia ndo shida kabisa..
Jamaa itamsumbua sana hii..

Mpwa nadhani angekuwa ni my wife wake basi angepata hata kauoga fulani. Aaghhh naelewa unachoongea
 
Last edited by a moderator:
Kwa mkeo? U must be insane bro

Tusichokijua na kukikataa kukikubali ni kwamba Mkeo ana akili timamu hadi anatongozwa, alikua anajua kuwa sasa natongozwa na huyu jamaa hana nia njema na ndoa yangu. Sio mtoto huyo eti useme amerubuniwa! Arubuniwe halafu aende mwenyewe, aingie gest, avue pichu, alale na maneno yote matamu pengine na kukutukana juu halafu Leo uje upigane? Mpwa I am married sio kwamba naongea ndoto, yakifika huko nitamuomba aondoke kwa Amani. Hata ukapiga kama ndio tabia zake utafikiri ataaacha. Sina muda huo mimi aiseee
 
Back
Top Bottom