Yes my dia ipo kwenye biblia.
Pia inasema pesa chanzo cha maovu yote
Ipo jamani wala hajakosea nikikumbuka mstari nitaweka hapa....pia inasema pesa mi chanzo cha maovu yote
utakufa kwa presha acha kuwawazia hawa viumbe
Yah nimeperuzi nimeona...Mhubiri 10
Yah nimeperuzi nimeona...Mhubiri 10
utakufa kwa presha acha kuwawazia hawa viumbe
If you stop chasing women and start chasing money then women will chase YOU.Kiongozi, hata wewe si una pa kupooza koo baada ya kuisaka hiyo pesa? Tunawaza na kuisaka pesa lakini pia love ina nafasi yake ujue...!
if you stop chasing women and start chasing money then women will chase you.
ndo anazungumzia pesa ndo kila kitu au
ndo ulipoona pesa ndo kila kitu katiks maishs au umejifunza nini au tafsiri inakusumbua
Mhubiri 10:19
Karamu hufanywa kwaajili ya kicheko;
Na divai huyafurahisha maisha;
Na fedha huleta jawabu la mambo yote
Andiko limeandikwa hivyo mkuu.....shida yangu nlitaka kuhakikisha kama lipo kwenye biblia hilo neno kwa habari ya tafsiri hilo ni jambo lingine
Nilivyokuwa na hamu ya kuwa na expensive car collection sidhan kama ntapata muda wa kuwaza kuwa nani ana namba na jina kwenye phonebook au laaa
mshushie kipondo
Eeeh shemdarling na wewe huwa unashusha kipondo?
mara moja moja tu shemdarling hasa pale ukorofi unapozidi. Ina raha yake ujue
Mi usinipige kwa kweli
nakushauri ndugu fanya yako achana na huo ujinga wa kufatilia simu za mkeo mwanamke akiamua kitu huwezi kumzuia....we dili na mambo ya kutafuta kipato kuendeleza familia na hakikisha unatoa dozi ya kutosha kama kila kitu unampa basi kilichobaki ni kumpa dozi stahiki atatulia na namba ataisahau ila kama hilo namba ni ya jamaa na ana mahusiano nae basi ujue jamaa anatoa dozi stahiki mpaka namba mkeo hawezi sahau inawezekana hata yako haijui hadi acheki 4nebook....dozi ndio kila kitu pesaa baadae