Leo ni mwisho kabisa nimechoka

Leo ni mwisho kabisa nimechoka

Nisije nikawa mimi ndiyo anayewasiliana na mimi. Maana hata mimi huwa napigiwa na namba ya simu ya mke wa mtu, tena nikipiga kimya muda mrefu utasikia upo kimya ....... sana nini tatizo ......

Mkuu unatafuta presha tu shauri yako..
 
Kama anashindwa kufanya kile ambacho kitajenga mahusiano yenu vyema,muulize kwa mara ya mwisho kipi ni bora kwake,huyo jamaa au wewe kisha chukua maamuzi sahihi kwa usalama wa maisha yako na afya yako
 
nakushauri ndugu fanya yako achana na huo ujinga wa kufatilia simu za mkeo mwanamke akiamua kitu huwezi kumzuia....we dili na mambo ya kutafuta kipato kuendeleza familia na hakikisha unatoa dozi ya kutosha kama kila kitu unampa basi kilichobaki ni kumpa dozi stahiki atatulia na namba ataisahau ila kama hilo namba ni ya jamaa na ana mahusiano nae basi ujue jamaa anatoa dozi stahiki mpaka namba mkeo hawezi sahau inawezekana hata yako haijui hadi acheki 4nebook....dozi ndio kila kitu pesaa baadae

wewe umeongea fact kbs..... hp shda c pesa.... doz tuu
 
Tafuta pesa wacha kuwaza ujinga, nchi maskini hii.

bro,I think you went way out of it.its like you don't have a heart or something. How on the earth is the thread FOOLISH!!?Respect
 
Nisije nikawa mimi ndiyo anayewasiliana na mimi. Maana hata mimi huwa napigiwa na namba ya simu ya mke wa mtu, tena nikipiga kimya muda mrefu utasikia upo kimya ....... sana nini tatizo ......

Mkuu unatafuta presha tu shauri yako..

hata handwritting yako inafanana na msg nionazo ila sasa ana watoto watatu bila shaka unaye mmoja hapo?
 
Hivi wanajamvi ukimkataza mkeo usiwasiliane na mtu ambaye una mashaka naye naye akaendelea tena namba yake hiyo hajaiandikia jina ina manisha namba hiyo haiko kwenye phonebook yake anamanisha nini? Na achukuliwe hatua gani na je nifanyeje ili niweze pata mawasiliano yao vizuri.

Original Mistake ilikuwa kumkataza asiwasiliane naye...That's when you saw how significant he is to her.
Huo ni upepo wa ndoa tu, we sasa hivi kuwa busy kuwaza familia inakuaje kiuchumi. If you keep on pursuing that madness nothing good will ever come out of it!
Mwache mkeo awasiliane na whoever she wants to, kutambua position yako kama mumewe ni jukumu lake na sio issue ya wewe kulazimisha.
 
Huyo mpe onyo kali, ukiona kazidi jaribu kutumia wazazi ili wamkanye maana hizo ni dalili za waziwazi kuwa huo ni mchepuko wake,usipoangalia utaletewa magonjwa au mtoto ambaye si wako
:A S-confused1:
 
Wanaume wengine ka tumerogwa vile!!! Nani ana nafasi tena ya kuchunguza sm ya mwanamke?? Weye unachunguzwa na nani? Unaacha mambo ya adili unadili na mambo ya hovyooo.
Mpe mkeo iliyo haki yake, mwulize kama ametosheka. Mwulize kama staili hiyo mnayoitumia inamridhisha au vipi. Sio kiila siku ni askof na sista tuuu. Zipo nyingi saana tu, nenda darasani utafunzwa huko ili umridhishe. Hata kama kuna kaserenget kana mmaind atakadharau kwani kashiba. Migonjwa isiyo na tiba imejaa kibao aende akajirahisishe nje wakati ndani anashibishwa??? Lakini ka weye ni wale wajao wameshika mitalimbo mkononi haraka haraka tayeri keshalipua na unatoka kwenda kimbilia phone log, nani kapiga leo nani katuma msg. Saa ngapi utajua ka mwenzio hajashiba??
Mke ni kumtimizia haki yake sio kumsachi sm yake, sachi mwili wake banaa, Je, katoshekaaaaa
 
Huyo mpe onyo kali, ukiona kazidi jaribu kutumia wazazi ili wamkanye maana hizo ni dalili za waziwazi kuwa huo ni mchepuko wake,usipoangalia utaletewa magonjwa au mtoto ambaye si wako
:A S-confused1:

nashukuru ila sasa nahisi kitu kati ya hawa watoto watatu ila bado nawaangalia nitapata majibu tu nilishamkataza ila anaendelea kwa siri nimemnunulia cm andoid ili ninase mawasiliano yake yote ila nimeshindwa weka setting ya hiyo kitu anayejua aje atujuze ili ukifanya maamuzi kusiwe na lawama
 
Back
Top Bottom