miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
mambo ya ndoa ambayo yako clear ukiomba ushauri humu lazima tuiteketeze tu ndoa yenyewe hiyo
sawa kabisa mwanaume usiyekuwa na action ni mbaya sana
mambo ya ndoa ambayo yako clear ukiomba ushauri humu lazima tuiteketeze tu ndoa yenyewe hiyo
Aisee..kuna makala zingine ukisoma lazma moyo uende mbio..!Hivi hebu ngoja niulize hapa,Dunia hii tuliyonayo kuna mwanamke ambae anagongwa na mume wake tu bila kuchepuka!? Km Wapo labda vijijini! Hapa dar hata wa kwangu nilishaacha kuhangaika nae kwa kuamini anapigwa! Kuna mtu aliniambia haya maneno nikambishia,akaniambia anza kuwatongoza wale unaoamini wametulia utapata jibu. Biashara yangu ina wateja wengi wa kike,nimejaribu zaidi ya wanawake 13. Kwa siku 5 tu hakuna hata 1 mmoja aliyekataa! Jamani mambo yamebadilika sana,heri kuelekeza akili ktk kutafuta pesa kuliko kutafuta aibu ya kufumania.
Tafuta pesa wacha kuwaza ujinga, nchi maskini hii.
maana yake wanakutana chochoroni then wanafanya yao !!You got my Point?[/QUOTE kwa jibu hili mleta mada anaweza zimia ujue!!
maana yake wanakutana chochoroni then wanafanya yao !!You got my Point?[/QUOTE kwa jibu hili mleta mada anaweza zimia ujue!!
ha ha ha aache kuzimia siku amekuta namba aje kuzimia JF?excuse me
miss chaga nakukubali sana kwa kabila lako na MAAMUZI TUNAYO ILA TUNAYAPUNGUZA MAKALI KWA AJILI YA WATOTOsawa kabisa mwanaume usiyekuwa na action ni mbaya sana
Tafuta pesa wacha kuwaza ujinga, nchi maskini hii.