Leo ni mwisho kabisa nimechoka

Leo ni mwisho kabisa nimechoka

haya mambo ya simu yanaua sana watu kwa presha na stroku kuwa makini jitahidi kutokufuatilia haya mambo
 
Maisha ya sasa ni ujasiliamali kwa kwenda mbele.

Usiogope wala hana nia mbaya ameshakuona wewe peke yako haumuwezi ameamua kukutafutia WA kukusaidia majukumu.
 
Hivi wanajamvi ukimkataza mkeo usiwasiliane na mtu ambaye una mashaka naye naye akaendelea tena namba yake hiyo hajaiandikia jina ina manisha namba hiyo haiko kwenye phonebook yake anamanisha nini? Na achukuliwe hatua gani na je nifanyeje ili niweze pata mawasiliano yao vizuri.

mrudishe kwao kwa muda. she is ignorant
 
Soma alama za nyakati mzee na uangalie ustaarabu wako, jiulize kwann hataki kuacha kuwasiliana na huyo mtu, ana umuhimu gani kwake kiasi cha kuhatarisha uhusiano wenu, na wewe kwanini unaingilia uhuru wake wa mawasiliano na watu awatakao.... kuna kauli ya busara inayosema Usimfuatilie/ Usimchunguze mpenzi wako kwa makosa ambayo hata ukijua ukweli wa uhusika wake bado huwezi kumuacha.... unaitafuta stress , vidonda vya tumbo, pressure na sukari bila sababu...kapige kazi uingize pesa mapenzi huku kwetu bado sana.
Hivi wanajamvi ukimkataza mkeo usiwasiliane na mtu ambaye una mashaka naye naye akaendelea tena namba yake hiyo hajaiandikia jina ina manisha namba hiyo haiko kwenye phonebook yake anamanisha nini? Na achukuliwe hatua gani na je nifanyeje ili niweze pata mawasiliano yao vizuri.
 
si uchukue hiyo namba uwasiliane nayo wewe kama una wasiwasi au weka trap yako. Coz kama ni mwanaume lazima atakuwa kicheche ukitumia mwanamke kumtrap ili kumjua chap utampata na kumuumbua tena unaenda na huyo mke wako wau demu wako siku ya kumuona jamaa
 
Hivi wanajamvi ukimkataza mkeo usiwasiliane na mtu ambaye una mashaka naye naye akaendelea tena namba yake hiyo hajaiandikia jina ina manisha namba hiyo haiko kwenye phonebook yake anamanisha nini? Na achukuliwe hatua gani na je nifanyeje ili niweze pata mawasiliano yao vizuri.

Huna kazi? Ingia jeshini halaf ukitoka mafunzoni mfanye kama ufo saro
 
pole sana,ukiona mwanamke hatak kuacha mawasiliano na mwanaume fulani ujue washafika mbali,
 
si uchukue hiyo namba uwasiliane nayo wewe kama una wasiwasi au weka trap yako. Coz kama ni mwanaume lazima atakuwa kicheche ukitumia mwanamke kumtrap ili kumjua chap utampata na kumuumbua tena unaenda na huyo mke wako wau demu wako siku ya kumuona jamaa

mwanamke anadai huyo jamaa ndo kaanza kumtafuta
 
Soma alama za nyakati mzee na uangalie ustaarabu wako, jiulize kwann hataki kuacha kuwasiliana na huyo mtu, ana umuhimu gani kwake kiasi cha kuhatarisha uhusiano wenu, na wewe kwanini unaingilia uhuru wake wa mawasiliano na watu awatakao.... kuna kauli ya busara inayosema Usimfuatilie/ Usimchunguze mpenzi wako kwa makosa ambayo hata ukijua ukweli wa uhusika wake bado huwezi kumuacha.... unaitafuta stress , vidonda vya tumbo, pressure na sukari bila sababu...kapige kazi uingize pesa mapenzi huku kwetu bado sana.

kumuacha inawezekana kabisa
 
kahojiwa leo ANADAI ETI huyo jamaa ndo kampigia simu na kumwandikia sms jaman
 
watoto wake wanalia tu sasa
mpelekee na watoto kama umemrudisha kwao. Mjengee mazingira ambayo itabidi akae na kufikiri kuwa anayoyafanya ni upumbavu na upuuzi. Mwache abebe majukumu kama vile wewe haupo aone kama kuna haja ya kuendelea na ukaidi wake
 
Tafuta pesa wacha kuwaza ujinga, nchi maskini hii.

Wasi wasi wa mapenzi tena Kwa mkeo ni ujinga,wengine pesa wanazo tayari they are simply thinking how to make their spouses happy tu
Think big
 
Back
Top Bottom