Hongera sana...
niko curious kidogo
why this Birthday ume share na sisi
anything special with his birthday?
halafu being atheist kuna kitu chochote kuhusiana na birthdays?
mnasheherekea au mnaichukuliaje labda?
Mpe tu hongera zake ila ukianza kuanzisha mada atheist jamaa akija tutakesha hapa...
Heri ya mwaka mpya mkuu Kiranga uwa nafurahishwa sana mada zako, nahisi ndio umenifanya niwe napita pita jukwaa la intelligence...
Babu nasikia siku hizi umefulia au ndio kile watu wanaita WIVU WA KIKE?Heri ya siku ya kuzaliwa kiongozi.