Ongezea na RelaxUmenifanya ning'are
Nipe macho
Mtetezi wangu
😅😅😅 unaanza kuwa malaika labdaBwana yesu we ni mwema sisi tunakupa sifa,, usifiwe milele.... Naupenda sana
Siku hizi napenda kusikiliza gospel sijui ndo uzee🤩🤩
Mimi ule wimbo wa salama rohoni version ya Wilber Force naupenda sana. Halafu kuka yule mnaijeria wa you have done me well nauelewa sana. Halafu kuna Mungu yupo wa mzee wa upako.Taja Mwimbaji wa injili na ngoma zake unazozipenda😍😍😍
Sedekia-zote
1. Ni Neema
2. Dunia ya madiliko
R. Muhando almost zote
Shusho ndio kabisaaa
Essence of Worship
B. Bukuku-Nakutegemea Mungu wangu. And the rest
Anyway nawapenda wote
Twende kazi wana wa Mungu.

😂😂😂itakuwa maana sio kawaida kabisa ninaweza sikiliza nyimbo za injili hata kwa wiki nzima mfululizo😅😅😅 unaanza kuwa malaika labda
Hata shetani akizeeka atakuwa malaika 😅😅😅 .. umefika mda wako sasa😂😂😂itakuwa maana sio kawaida kabisa ninaweza sikiliza nyimbo za injili hata kwa wiki nzima mfululizo
Wimbo gani au MWAMBA WENYE IMARA![]()