Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Mimi nimekataza familia na ukoo kuangalia clouds tv kingamuzi na weka code kwenye hiyo chanel wanauliza nini namwambia hiyo ni ya ngono sio nzur
Mbavu zangu miye!!
Mimi nimekataza familia na ukoo kuangalia clouds tv kingamuzi na weka code kwenye hiyo chanel wanauliza nini namwambia hiyo ni ya ngono sio nzur
Dkk ya 21 juu ya saa 2... ITV hawajasema chochote kuhusu mafuriko ya Mwanza.... waoga.... wasaka tonge tu hawa wote... jamani chadema tv... tupeni akaunti tuchangue kama hamna hela...
Hiv aksema ni ya tido ni kweli unakua huelew kama hamaanish unachomaansha au...
Mbavu zangu miye!!
Channel ten nao sijui waligombana na Lowasa
Moja ya kunusuru nchi katka machafuko ni kudhibiti habari za uchochezi kama hz, mnaoshabikia ukawa sidhani kama mnaona mbele au mnawaza uchaguzi tuu, yaani mtu anagawa fedha namna hii hadharani na mnashangilia akishika dola nani atakohoa? Maana kuburi mmempa wenyewe, na mtakoma watanzania msipokuwa makini katka hili.