Damy Scotty
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 717
- 454
Wakuu nlikua naangalia taarifa ya habari dk kadhaa zilizopita kabla ya saa 2 usiku, walikua wanaonyesha taarifa ya kumtangaza Lowassa huko mwanza cha ajabu MWANZO MWISHO WAMEONYESHA MEZA KUU TU mpaka wamemaliza inamana hakukua na wananchi kwenye huo mkusanyiko?
Daah kwa staili hii ntabak ITV na AZAM TWO tu, kuhusu kuangalia taarifa za habari! Huko kwngne labda burudani2 nahis ndo wanaloweza!!!
Daah kwa staili hii ntabak ITV na AZAM TWO tu, kuhusu kuangalia taarifa za habari! Huko kwngne labda burudani2 nahis ndo wanaloweza!!!