Leo ndo napanda ndege kwa mara ya kwanza mnishauri jmn

Ndio raha ya JF hata sisi ambao hatujawahi kupanda 'mwewe' tunanufaika! Ingawa ushauri mwingine mmh! Za mbayuwayu..
 
Ndio kama hapo juu,utaratibu ndio upi jamani mi natokea mwanza naenda dar na cjawahi kupanda,vp kuhusu mavazi nackia kuna baridi ndani wananwasha air condition,kwa aliyewahi panda jmn tusaidiane
Usifungashe viroba vya konyagi kwenye carry-on bag kama una pombe au liquid yoyote weka kwenye sanduku....
 
Kwani shida iko wapi si kama basi tu? We nenda kaa waiting room, mtaitwa na kupanda kibasi chao hadi kwenye ndege. Ingia kimya kimya kaa bana mkanda usubiri kunyanyuka tu. Pale mnapocheck in utakaguliwa mara mbili kabla ya kuingia kwenye waiting room. Kama una mzigo mkubwa ukisha ukabidhi na kuupima wakakupa ile boarding pass ingia ukaguliwe mara mbili wala usiulize mzigo uko wapi, utakutana nao Dar kwenye mkanda unaozunguka.

Unaogopa kipupwe kwenye ndege? Wala usiogope ni cha kawa tu na ukitaka unaweza kukizima. Usijifanye mgeni sana hapo airport nenda kwa upole kama mzoefu huku ukipiga chabo (ukiangalizia wengine wanafanya nini). Wakati wa kupaa usijepiga kelele ukidhani utumbo umetoka. Kama ni jioni au usiku wala hakuna shida ila kama ni mchana ukiangalia nje hasa wakati wa kutake off unaweza kuhisi kuzunguzungu. But usijali utazoea tui, bon voyage!!!

Ha ha haaa umenifurahisha sana wakati wa kupaa asipige kelele?nimecheka sana umenikumbusha Boeing kutoka China wakati wa kutua dubai ilipogusa ardhi wanawake kwa pamoja walijikuta wanapiga kelele kwa mpigo.
 
Yaani nilipoona tu kichwa post nikashikiria mbavu zangu,hii ndy jf ful vicheko!..
Mkuu usijari lkn km una midevu kama yangu hv inabidi upitie barber shop unaweza kubaki airport ukizaniwa mfuasi wa boko haram!..
 
Kama utatua Tabora,usisahau kununua karanga,mayai ya kuchemsha na miwa na uwe na chenji kamili,ama sivyo utaachwa.
Ndio kama hapo juu,utaratibu ndio upi jamani mi natokea mwanza naenda dar na cjawahi kupanda,vp kuhusu mavazi nackia kuna baridi ndani wananwasha air condition,kwa aliyewahi panda jmn tusaidiane
 
Kumbuka kuja na samaki satooo

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ha ha ha, you can adjust the AC holes on top so that they wont face you Mkuu
 
Nilisahau,
Hua wana kawaida ya kwenda kulaza ndege Airport ambako ni mbali.

So ili usisumbuke na usafiri waambie wakushushe kwanza mjini ndio wakapaki huko Airport kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom