Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
hehee wahongaji oyeee!Pole sana,ni results za kuhonga izo!mi mwenyewe ndo zangu izo!ahhahahaa
hehee wahongaji oyeee!Pole sana,ni results za kuhonga izo!mi mwenyewe ndo zangu izo!ahhahahaa
Mkisifiwa tabu msiposifiwa tabu...kipi ni kipi hapa???saa zingine sifa inaongeza morale unajua like next time unampa zaidi ya kile ulichompa kabla......kubali sifa tu...
we nae umezidi, mtu husifiwa kwa kazi nzuri anayofanya kama we umegundua huwafikishagi wakikusifia tu unamwaga bakuli lako la mchuzi basi hua wanaambizana msifu tu amalize, uishie zako asikuzoee au labda kunakitu wanafwata kwako wakichukua wanaambizana
kwa hiyo usizuie ma binti kuwasifia wanao wafikisha pia kama unasifiwa pengine kweli jitahidi uwe unafanya mambo kulingana na sifa unazopewa, hayo ni mambo ya wawili we umetaja unavyosifiwa ila hujatwambia wewe hua unasemaje ukute we ndo bingwa wa mapromise maana wanaoongoza kwa ahadi za kibunge ni wanaume na wala si wadada, kitu kingine unatakiwa kujua maneno unayopewaga hua nivikorombwezo tu na baada ya hapo husahaulika usidhani kila jambo nikweli tena pengine ukiuliza badae mtu hakumbuki kama alisema . JESUS IS MY HOME BOY.
uwiiii jamani mtaua mpira wa maji tena, au jamani jamani mh hiyo imenivunja mbavu.lkn si kila sifa ni sifa(wajua hilo)mfano mtu anakusifia dude lako limepinda kama mpira wa maji,unadhani ni sifa nzuri?so kuwa makini na sifa upewazo!
Mikela........mtu akifanya zuri lazima asifiwe na hata katika mapenzi ni hivyo hivyo ati.kwanini usimpe sifa zake yule anayekukuna na kukufikisha kwenye pepo flani kwa muda huo?lazima mjua shughuli apewe haki yake ya sifa.
mwanaume sio ukubwa wa kiperege bali uwezo wa kukitumia.maana unaweza jaliwa samaki papa ukashindwa kumgeuza wakati mwenye dagaa anampindua.........nani atakutaka ?
sifa za kijinga(za kichina) ndio ambazo hatuzitaki
Mikela........mtu akifanya zuri lazima asifiwe na hata katika mapenzi ni hivyo hivyo ati.kwanini usimpe sifa zake yule anayekukuna na kukufikisha kwenye pepo flani kwa muda huo?lazima mjua shughuli apewe haki yake ya sifa.
mwanaume sio ukubwa wa kiperege bali uwezo wa kukitumia.maana unaweza jaliwa samaki papa ukashindwa kumgeuza wakati mwenye dagaa anampindua.........nani atakutaka ?
weweeee! Wengine wanalia kwafuraha machozi mpaka kwikwi akiuliza hana jibu kumbe anajiuliza huyu kaka alikua wapi sikuzote.Wakati anakusifia mtazame usoni ndio utajua hizo sifa akumwagiazo ni kweli au si kweli, kwa sababu mwingine anaweza asikusifie ila ukimuangalia wakati wa tendo unaona kabisa anaridhika na hiyo kitu unampa
Mikela.inawezekana wewe sio special ila hao wamekutana na wajinga na wewe unanafuu.waje niwaunganishe kwa firstman wangu kama hawajatoa na matangazo ya sifa
Yaani hiyo sentensi ya mwisho imeniacha hoi....kina kaka hebu semeni kumbe mwafika kwa kusifiwa kwa maneno na si shughuli yenyewe? Sasa wale wanaokuwaga mabubu tu ina maana hawamwagi bakuli la mchuzi? ah mie nimechoka Mikela mpenzi wangu
Tena MJ1, bora mwanaume akutane na mdada ambae mashine yake miyeyusho lakini anajua kuongea wakati mnado, huyo nina hakika anaweza akanifanya nimwage chuzi langu mapema kuliko yule ambae anakuwa bubu, hujui kama amekasirika au amefurahi!sana sana unamwona tu alivyokutolea macho mpaka umamwogopa!!!!!![/QUOTE]
Hiyo ni ishara kua hajaridhika na wewe sasa hapo kama unampenda ongeza maujuzi kama humpendi chapa lapa usirudi tena cku ingine. Kitu ikiingia vizuri hilo jicho litafunguka thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu