Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
nimekukuna wapi nduguyangu.mamushika uko juu, umenikuna
nimekukuna wapi nduguyangu.mamushika uko juu, umenikuna
nimekukuna wapi nduguyangu.
haa haaaaaaaa makubwa.Usijifu kusifiwa, jutia ujinga wako wa kuwavulia nguo wanawake lukuki, angalia na muogope Mungu ndugu yangu:teeth::teeth::teeth:
badilisha heading isomeke "Leo najipasulia yai viza"
mh we nae umeibukia wapi ghafla.Mkimaliza kukunana mtafuteni Teamo awaelekeze sehemu salama ya kwenda
Bujibuji acha ushaidi wewe hee.Mkimaliza kukunana mtafuteni Teamo awaelekeze sehemu salama ya kwenda
mh we nae umeibukia wapi ghafla.Mkimaliza kukunana mtafuteni Teamo awaelekeze sehemu salama ya kwenda
mh we nae umeibukia wapi ghafla.
Kila nikiwa kwenye majamboz na mabinti huwa wananisifia eti hawajawahi kupata mwanamume mtamu kama mimi...
Huu naujua kuwa kuwa ni uongo usio na kichwa wala miguu kwa kuwa KIPEREGA changu hakina matawi, kiko sawa na viperega vya watu wengine.
Sasa hizi sifa za kijinga sizitaki. Nanyi kina dada mkiwa ulingoni msiwasifu wanaume zenu kwa sifa mfano wa ahadi za chama cha mafisadi, matokeo yake wanaume wengine wananogewa na misifa na kujikuta wamemwaga lile bakuli lao la mchuzi na kukuacha bibie ukilalamika kuwa hujafikishwa kileleni
Weeeeeeeh!
Mikela........mtu akifanya zuri lazima asifiwe na hata katika mapenzi ni hivyo hivyo ati.kwanini usimpe sifa zake yule anayekukuna na kukufikisha kwenye pepo flani kwa muda huo?lazima mjua shughuli apewe haki yake ya sifa.
mwanaume sio ukubwa wa kiperege bali uwezo wa kukitumia.maana unaweza jaliwa samaki papa ukashindwa kumgeuza wakati mwenye dagaa anampindua.........nani atakutaka ?
kwani fl ndio alivyomaanisha jamani?kazi ipo
siyo wote wanapendelea kugeuza (tiqo)
wengi tunapendelea airtel
.....ahahahahaaaah hii sio sifa bali ni kudhalilishwa.lkn si kila sifa ni sifa(wajua hilo)mfano mtu anakusifia dude lako limepinda kama mpira wa maji,unadhani ni sifa nzuri?so kuwa makini na sifa upewazo!
Sijui yeye ndio yupo hivyo!Madam T hiyo avatar yako, mmh!
Mh hiyo ni kweli Bujibuji, lakini sikuingine piga hodi jamani hata umasaini huwa wanachomeka mkuki kama sign.Si unajua sisi wabarikiwa wa Bwana tunaibuka tu sehemu yoyote bila sababu maalum