Leo National Stadium: Simba SC vs Azam FC

Leo National Stadium: Simba SC vs Azam FC

Ule msemo wa kwamba "Ipo siku kila mtu atashabikia Simba" unaelekea kutimia, pole pole wale wa upande wa pili wanashangilia Simba leo, wamebaki wachache tu waliahidiwa ice cream.
 
Sifahamu Mkuu, nipe shule. Likija suala la kujifunza huwa sina haya. Nifundishe Mkuu. Dak. 38 Simba 2-1 Azam.

Mkuu kulikuwa na vita moja iliwahi kutokea wakati wa mechi moja hivi huko maeneo ya Tarime,ngumi zikaanza kupigwa,sasa kilichofanyika pale kwenye uwanja washabiki wakawa wanaamiana Yawa makuru jogi ng'ato ka ng'ato,wakaugiuru ng'ato gi ng'ato,ebwana kicahpo kilitembezwa mwisho wa siku jamaa wakshinda hiyo vita,sasa kilichofanyika baada ya hapo kila mechi ilikuwa ikienda kuchezwa kwenye uwanja huo inakuwa NG'ato gi ng'ato,maana yake ni kukaba mtu na mtu hakuna kuachia awe na mpira asiwe nao ni ng'ato gi ng'ato.
 
Nilijua tu Simba lazima ashinde leo
 
Ule msemo wa kwamba "Ipo siku kila mtu atashabikia Simba" unaelekea kutimia, pole pole wale wa upande wa pili wanashangilia Simba leo, wamebaki wachache tu waliahidiwa ice cream.
Hahahaaah!! Kama kweli vile aisee..
 
Ule msemo wa kwamba "Ipo siku kila mtu atashabikia Simba" unaelekea kutimia, pole pole wale wa upande wa pili wanashangilia Simba leo, wamebaki wachache tu waliahidiwa ice cream.

Si kila anayekushangilia anakupenda! Leo imedhihirika kuwa Azam hana mashabiki. Simba wako na timu yao, Yanga wana interest na matokeo mabaya ya Azam.
 
Si kila anayekushangilia anakupenda! Leo imedhihirika kuwa Azam hana mashabiki. Simba wako na timu yao, Yanga wana interest na matokeo mabaya ya Azam.

Hakuna sehemu nimeandika habari ya kuipenda Simba nilichoandika ni kuishangilia na ndo kinachofanyika leo.
 
Back
Top Bottom