2-1, simba anaongoza ni half time.Jamani uwanjani hebu tupe updates au mmefukuzwa na Simba?
Mpira ni mapumziko,Simba 2-1 Azam
Taratibu okwi anaanza kusahaulika.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu kulikuwa na vita moja iliwahi kutokea wakati wa mechi moja hivi huko maeneo ya Tarime,ngumi zikaanza kupigwa,sasa kilichofanyika pale kwenye uwanja washabiki wakawa wanaamiana Yawa makuru jogi ng'ato ka ng'ato,wakaugiuru ng'ato gi ng'ato,ebwana kicahpo kilitembezwa mwisho wa siku jamaa wakshinda hiyo vita,sasa kilichofanyika baada ya hapo kila mechi ilikuwa ikienda kuchezwa kwenye uwanja huo inakuwa NG'ato gi ng'ato,maana yake ni kukaba mtu na mtu hakuna kuachia awe na mpira asiwe nao ni ng'ato gi ng'ato.
Taratibu okwi anaanza kusahaulika.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
atakumbukwa siku ya mechi na yanga.
Mliopo uwanjani kipindi cha pili hakijaanza?
Man city na chelsea umeanza?
Hahahaah! Ila siku hiyo mtachezea kipigo hata kama okwi hayupo, rage atakuwa amerekebisha hali ya hewa msimbazi.Safi sana dogo
15:00 gmt.man city na chelsea umeanza?
15:00 gmt.
18:00 hrs EAT.