TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Hahahaah! Ila siku hiyo mtachezea kipigo hata kama okwi hayupo, rage atakuwa amerekebisha hali ya hewa msimbazi.
Thutubu ndo mwanzo wa kutupiwa vilago
Hahahaah! Ila siku hiyo mtachezea kipigo hata kama okwi hayupo, rage atakuwa amerekebisha hali ya hewa msimbazi.
Duh....wanaweza kushinda hawa jamaa.Simba 2-2 Azam, John Bocco.
....haya bwana.Simba 2-2 Azam, John Bocco.
Duh...! Nyingi sana dakika zilizobaki, azam watashinda.Dak. 75 Simba 2-2 Azam.
kumbe kweli walikuwa wametangulia na baiskel ya miti!!Azam wanasawazisha,simba 2-2 azam
Nini tena hvi vipimbi vya pale kwenye msongamano vinafanya
Wapi ndetichia?
pale msimbazi?