Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,317
- 108,373
Hawa si ni NDUGU mkuu.
hahaha mi nasubiria tu huo mtanange...
Hawa si ni NDUGU mkuu.
Kwa kuwa Lunyasi hatuna undugu na Yanga. Acha leo tumbebe mwanetu Azam achungulie ubingwa. Kipre leo tunakuruhusu utupie kama hauna akili nzuri. Msimbazi hatutaki ubingwa wala nafasi ya pili.
Kwa mara ya kwanza leo matokeo yeyote ya Mnyama (afungwe/ashinde) kwangu poa tu
Kwa mara ya kwanza leo matokeo yeyote ya Mnyama (afungwe/ashinde) kwangu poa tu
wakuu tupeni update ndugu wanavyooana.!