Leo National Stadium: Simba SC vs Azam FC

Leo National Stadium: Simba SC vs Azam FC

Mkuu IDAWA njoo huku kutamu wametoka sare hawa ndugu wawili..
 
Yanga kabakiwa na mechi ngapi?

Yanga amebakiwa na mechi 4 ana point 52. Azam kabakiwa na mechi 3 ana point 47, endapo atashinda zote, Azam atafikisha point 56. Ili Yanga atangaze ubingwa inabidi afikishe point 57, hivyo anahitaji point 5 sawa na ushindi wa mechi 2 tu ambazo ni Mgambo JKT na JKT Ruvu.
 
Msimu huu tutamaliza bundle kujikumbushia clip kama hizi.



 
Last edited by a moderator:
Kweli wametusaidia ndo maana leo mashabiki wa Yanga walikuwa wanaishangilia Simba

Yanga na Simba siyo maadui ni WATANI. Mashabiki, viongozi na wachezaji wote wa Simba wameridhia kuwa ni afadhali kombe liende Yanga kuliko kwenda Azam, timu iliyoituhumu Simba kutoa mulungula bila ya kuwa na ushahidi. Asanteni sana Simba kwa ushirikiano bora.
 
Yanga na Simba siyo maadui ni WATANI. Mashabiki, viongozi na wachezaji wote wa Simba wameridhia kuwa ni afadhali kombe liende Yanga kuliko kwenda Azam, timu iliyoituhumu Simba kutoa mulungula bila ya kuwa na ushahidi. Asanteni sana Simba kwa ushirikiano bora.

Mwaka huu ni wenu hata kama AZAM wangetufunga magoli mia lakini bado ubingwa mngechukua tu.
 
Yanga na Simba siyo maadui ni WATANI. Mashabiki, viongozi na wachezaji wote wa Simba wameridhia kuwa ni afadhali kombe liende Yanga kuliko kwenda Azam, timu iliyoituhumu Simba kutoa mulungula bila ya kuwa na ushahidi. Asanteni sana Simba kwa ushirikiano bora.

nimefurahishwa sana na mashabiki wa yanga wameshangili zile mbili zilipoanza kurudi wakawachenjia simba na kujikuta wanashangilia azam na chengine hii gemu kocha alibugi mbaya kumuanzisha kakolaki na kuwapa mdomo simba ila zaidi ya hapo..

wachezaji wa azam wanaiunderrate sana simba na ile penati ya pili kaikataa tu bongo bana..
 
Back
Top Bottom