Duh...! Zinaweza kurudi zote...Pwnaati azam wanapata
Duh...! Zinaweza kurudi zote...
Safi sana simba lakini inauma sana mtani anachukua ubingwa kiulaini.
Duh...! Ila azam inaonekana kama watachomoa vile.Simba yuko kituo cha Polisi akisaidia Uchunguzi ili Yanga achukue ubingwa mapema. Hii leo hakuna urafiki kati ya Simba na Azam. Kocha Azam red card.
Unajua Mkuu hili neno lilitokea wapi?!
Duh...! Ila azam inaonekana kama watachomoa vile.
usihofu mkuu simba naye yuko analinda heshima hataruhusi kirahisi!!Duh...! Ila azam inaonekana kama watachomoa vile.
Azam n Nomaa tutawapaaaaa doziiii Simbaaa