Sisi tumebaki tunajikumbushia clip kama hizi.
maana msimu huu hatuna la maana sana.
mavi yana mwaka unataka yanuke
Last edited by a moderator:
Sisi tumebaki tunajikumbushia clip kama hizi.
maana msimu huu hatuna la maana sana.
mavi yana mwaka unataka yanuke
Huenda tukashuhudia mechi nzuri sana leo. Leo hakuna uwifi kwenye mechi hii labda Simba aachie ili kuongeza mgogoro wao na Maharage. Azam wana lengo moja tu la kupata pointi tatu ili kuuchuchumilia ubingwa, kitendo cha Azam kufungwa au sare ni kusaidia Yanga kutangaza ubingwa mapema. Kwa hali hii, leo ni man to man, mnhu na mnhu na ng'ato gi ng'ato.
Dak. 15 Singano, Simba 1-0 Azam. Jukwaa la Yanga limelipuka kwa mara ya kwanza katika historia, wanaishangilia Simba.
kikosi cha mnyama leo
1. Dhaira
2. Chollo
3. Miraji
4.mussa mude
5. Kapombe
6. Galas
7. Chanongo
8. Dullah seseme(mario Gotze)
9. Messi
10. Ngassa
11. Kiemba
sub: kaseja , kazimoto, sunzu, khatib , edo, rashid, rama
Dak. 20 Singano, Simba 2-0 Azam
Mkuu Makoye Matale hii ng'ato gi ng'ato nani kakufundisha?! kwa sababu hii ni wachache sana wanaoijua!
Hahahaaa yani simba leo ndio siku pekee wanayonipa raha
ha ha ha ha ha!!umesahau kuwa adui muombee njaa!!mbona maajabu sasa? Lile jukwaa leo limelipuka simba kupata goli? Kweli mpira fitna!
Hahahaaa yani simba leo ndio siku pekee wanayonipa raha
Mkuu napenda sana lugha zetu asilia, nimejifunza kupitia ndugu zangu wa Ziwa Mashariki.
Vita vya panzi, ni furaha kwa Kunguru.
Vita vya panzi, ni furaha kwa Kunguru.