Leo National Stadium: Simba SC vs Azam FC

Leo National Stadium: Simba SC vs Azam FC

Mkuu ndomyana leka owotongolo
Yanga amebakiza mechi 4 ambazo zidi ya Mgambo JKT,Ruvu JKT,Coast Union na wakalia LIBOLO FC(Simba)
hapo akishinda mbili tu tayari katangaza ubingwa:msela:

kaka nhobwike hadi nikajua 3 kumbe 4 samahani wajameni
 
sema hii gemu azam walikuwa wanataka droo ingekuwa wanatafuta ushindi yule balou kipre sijui wangembebea mbeleko gani.. sio mbaya..

Kwa nini muhitaji droo wakati mpo kwenye mbio za kusaka ubingwa? Funguka mkuu.
 
Baada ya jana kushuudia mchezo na Yanga kuibuka na ushindi mnono wa goli 3 - 0 dhidi ya Oljoro JKT,leo tena jioni tutashuhudia mtu na wifi wakimenyana kinafiki uwanja wa Taifa

mara nyingi sana mechi ya Simba na Azam huwa inapoteza radha kabisa kutokana na kucheza kiwifi wifi:msela:

Hapo kwenye nyekundu mkuu umetudanganya. Kwa takwimu za ndani ya uwanja, ufundi na ushindani, mechi ya Simba za Azam ni moja ya mechi bora kabisa hapa Tanzania. U
 
Back
Top Bottom